Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Duh! Hii mbaya sana, madereva wamekosea nini sasa?!Wakati hayo yanaendelea,,Congo wanapora watanzania wanaosafirisha bidhaa na magari ya mizigo,,wanapigwa mawe wanaporwa hela had chakula,,madereva mnaosafir Congo muwe makini kumechafuka huko!