little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Nampata vyema sana ni moja ya kamanda aliyekubalika kwa askari sana alikuwa na hamasa pia mbinu nyingi za kupiganisha ila ndiyo hivyo colonel mwenzie alimuuza kwa waasi wa ADF ila hao M23 wanaukumbuka moto wake.Huyu jamaa unampata kumbe, niliwahi kuisoma documentary yake alikuwa ni lulu kweli kwa Congo, unfortunately aliuzwa na wajeda wenzie