Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDF amezungumza codes, kunguru kama wewe huwezi kuelewa.Hamko vizuri kijeshi ama sivyo CDF asingelalamika kuingiliwa na watu wa nchi jirani!! Kuongiliwa huku mpaka kwenye vyombo vya ulinzi kunaifanya kazi yao kuwa ngumu!
Rwanda wakiamua kurusha drones mtatafutana!
Wewe sikia hao Ni wapumbavu fulani hivi. Hata kwa ngumi tu sisi raia tunapiga kuanzia rusumo mpaka kigari. Hiyo TPDF imefundishwa utii. Asifikiri Ni congo alipoweka mamluki wake. Ajaribu tumpeleke uhamishoni akafie uko Kama idi aminiWamesema watapeleka kipigo mpaka bandari salama (mzizima)
Sikia hawana mavi yakujaribu waambie warudi kwa kagame waachie congo wakae kwa amani. Na kwa taharifa yake wijana wa congo alisi wanapata mafunzo makubwa ya kijeshi hata baada ya kuwafurusha hao wauwaji wake hatorudi congo tena maana watakua imaraTPDF wamepewa onyo na waasi vinginevyo watakiona cha mtema kuni
Kabisa mkuu. Wao walifikiri Ni kucheza na hao un wao. HawataaminiM23 wasiwasumbue wananchi wa Congo wawaache waishi kwa amani, ukiona mpaka Jeshi linatumwa kuja huko ujue maasi yamezidi
Siyo kuachana na Vita mkuu. Warudi Rwanda Kama Wana nyege za kutawala wampindue kagame watawale kwao Rwanda. Hao wameua maelfu ya wacongo mpaka hatua hizo zinachukuliwa siyo Jambo la kitoto mkuu.Waache kutisha Jeshi letu! Wangekuwa na uwezo huo wasingetangaza. Hapo wanatafuta kuonewa huruma. Kama wanataka amani wakubali kuachana na vita.
Tena mpaka wanaua watanzania wenzetu. Ni hivi Kama wanataka Amani lazima wakongo waache kuua watu ambao hawana shida nao Kama wapeleka mizigo wasafilishaji.sababu maandiko yanasema HAKUNA AMANI KWA WABAYA.Wakati hayo yanaendelea,,Congo wanapora watanzania wanaosafirisha bidhaa na magari ya mizigo,,wanapigwa mawe wanaporwa hela had chakula,,madereva mnaosafir Congo muwe makini kumechafuka huko!
Kipindi waliambia walinde amani na UN. Na ndiyo tukajitoa kulinda amani sasahivi wanyatie tena hakuna UN hapo kama kipindi kile. Waambie warudi Rwanda hakuna mjadalaHao jamaa ni wanyajitiaji, hili biti sio la kujichekesha
Walishawahi kuwanyatia na zaidi ya 14 JW wakafa
View attachment 2893574
Tena wasindikize na meseji yao. Hiyo kigari mtaikimbia asubuhi peupee mkaishi uhamishoni kaulize idi amini dada kwenye kaburi atakwambia achana na hiyo Tanzania.Kwa war mongers, hii meseji mmeisoma vyema?
Tunaandaliwa kisaikolojia na sababu imeshatafutwa
Kajichanganye na bwana ako anajua vizuri tu. Umejionyesha unyarwanda wako mwisho ukajishtukia unamaliza Kama Matanzania. Wanamgambo eeh? Nyege zenu za kutawala congo kampindueni kagame mtawale Rwanda. Hii ni Tanzania na hamtaiweza kamwe. Kila Matanzania Ni mlinzi wa nchi yake na ngoja tumalize viumbwa venu vya M23 alafu tuanze kuwarengesha mmoja baada ya mwingine tukashibishe mamba.Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..
KabisaHili sasa ndiyo jeshi linalotambulika siyo lile la EAC likiongozwa na Kenya. Tutawapa kipigo kama kile cha mwaka 2013 enzi za Kamanda Mwakibolwa
Lete pua acha maneno weka Muziki. Waulize m23 wapo msituni au mjiniUmepigana vita ngapi vya msituni na umeshinda ngapi
Na lini ni mara ya mwisho kupigana
Nimecheka sana mkuu kwamba hakuna muda wa kula kichapo kinatembea 24/7Katika vitu ambavyo kagame na m23 yake hawakitaki kiwepo congo,ni tpdf,tpdf wanajua kubonda bana!!..ile 2013 m23 hawakuwahi kujua Kama makombora huwa yanapigwa vile,yaani heavy,muda wote,hakuna muda wa kula
What a joke!TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Vita kama soka vile. Haikosi washabiki 😀 😀 😀 😂Lete pua acha maneno weka Muziki. Waulize m23 wapo msituni au mjini
Hiki ndio kilikua hatar yake. Watu wema huwa wanaogopwa sana na watawala. Asilwambie, adui mkubwa wa ubaya sio ubaya, kinachoutisha na hata kuumaliza ubaya usiwepo, ni itu wema. Na ndicho kilichom cost. Wakamuondoa wabaki wabaya ili wananchi muwe mnchagua m baya mwenye nafuu kat ya waliopoNaam na hicho ndicho hasa kilipekekea kwasababu jamaa hadi raia akifika mahala unaweza sema mkutano wa kisiasa kumbe ni Col. Ndala
Plus the fact kwamba, hao hayawani walipojiroga kuingia bongo kusini, sisi tukiwafagia tuu mpaka nje ya mipaka halaf tukaamua kutulia hapo malangon mwetu, ya nje hayatuhusu.Tz haikushindwa kuwamaliza magaidi wa Msumbiji,bali ilijikita kulinda mipaka ya nchi na haikutaka kujihusisha na mgogoro huo nje ya mipaka ila walibaki kulinda mipaka ya ndani basi.
Chizi wewe.mnavyosapoti m23 mnajua na Tanzania inasapoti Upumbavu Kama wenu?. Sasa na nyinyi nendeni msumbiji kuwapiga magaidi Kama sisi tunawsapoti?. Nani aliwafumua kibiti mpaka wakakimbilia msumbiji?. Tumia akili yako vizuri.Hahahahaaa! M23 na Magadi wa Msumbiji ni miradi ya watu. Tanzania na Rwanda kila nchi inanufaika na hivi vikundi kwa namna moja au nyingine.
Kwakifupi tz tuna deal na ishu that matters . Hatuna tume wala resource za kupoteza..vijana wetu sio mercenariesChizi wewe.mnavyosapoti m23 mnajua na Tanzania inasapoti Upumbavu Kama wenu?. Sasa na nyinyi nendeni msumbiji kuwapiga magaidi Kama sisi tunawsapoti?. Nani aliwagumua kibiti mpaka wakakimbiloa msumbiji?. Tumia akili yako vizuri.
Motomoto noma sana.View attachment 2893231
TAFSIRI KWA KISWAHILI
Sisi M23 tunaidhinisha kwamba, tunaheshimu jumuiya zote zilizopo katika ukanda wetu na hatuna tatizo lolote na jumuiya ya SADC hususani sehemu yenye Jeshi la wananchi wa Tanzania.
Lakini, Majeshi ya SADC yamekuwa yakitumia mifumo ya roketi nzito aina ya 122 MRLS (bm) inayolipua na kuua raia wema wa maeneo yetu, wanaofanya haya ni wanajeshi kutoka Tanzania.
View attachment 2893565
View attachment 2893551
Ikiwa mashambulizi haya yataendelea, M23 haitaakuwa na namna nyingine bali kuzikamata silaha, kuziharibu pamoja na wanajeshi wanaotushambilia (wanajeshi wa Tanzania) ili kujilinda.