James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Among the successful battles of all the times ile commission ya mwaka 2013 chini ya Mwakiborwa huko Kivu ilikuwa balaa...kumbuka Rais ni Kikwete na ana bifu na Kagame halafu kazi kapewa Mzalendo wa Kinyakyusa ktk hiyo commission hapo hapo kuna hasira za OP Kimbunga aseee kuna jamaa alinihadithia wa JW anasema zilipigwa bomu hatari huko msituni.Katika vitu ambavyo kagame na m23 yake hawakitaki kiwepo congo,ni tpdf,tpdf wanajua kubonda bana!!..ile 2013 m23 hawakuwahi kujua Kama makombora huwa yanapigwa vile,yaani heavy,muda wote,hakuna muda wa kula
Maana South Africa pamoja na vifaa vyao vya kisasa walikataa ( ogopa) kwenda front msituni wakawa wanatoa air support when needed sasa kwa Misitu ya Kongo air support haina issue JW ilikuwa balaaaaa...
Hivi Mwakiborwa alistaaf au yuko Ngome maana M23 wakisikia jina yake wanatafuta chaka