Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M23 wasiwasumbue wananchi wa Congo wawaache waishi kwa amani, ukiona mpaka Jeshi linatumwa kuja huko ujue maasi yamezidiWewe utakuwa mgeni wa haya mambo,
Paul Jagame na M23 yake waliipata fresh kipindi cha Kikwete, Paul alikuwa mdogo kama Piritoni na dharau zake,
WawaacheM23 wasiwasumbue wananchi wa Congo wawaache waishi kwa amani, ukiona mpaka Jeshi linatumwa kuja huko ujue maasi yamezidi
ItakuwaNaskia JWTZ walipeleka under 20 years hao wahuni wamesha anza kulalamika je wakienda wakina Kibu D itakuaje sasa..
Vita inachagua silaha?TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa mpaka Dar es Salaam
View attachment 2893189
Kwa hiyo wakina Mzize wanapeleka moto mwingi😂Naskia JWTZ walipeleka under 20 years hao wahuni wamesha anza kulalamika je wakienda wakina Kibu D itakuaje sasa..
BM-21 sio artillery ni 122mm MLRS na wala sio heavy. Heavy MLRS ni kama BM-30 Smerch ya 300mmHatuna shoo mbovu,👍👍👍
Bm 21 + heavy artilleries supported by ground SFs💪💪💪
Waache kutisha Jeshi letu! Wangekuwa na uwezo huo wasingetangaza. Hapo wanatafuta kuonewa huruma. Kama wanataka amani wakubali kuachana na vita.TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa mpaka Dar es Salaam
View attachment 2893189
Saguda de 47 mtu wangu wa nguvuHatuna shoo mbovu,👍👍👍
Bm 21 + heavy artilleries supported by ground SFs💪💪💪
Asante sana TPDFTPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Wajuvi mtuelisheBM-21 sio artillery ni 122mm MLRS na wala sio heavy. Heavy MLRS ni kama BM-30 Smerch ya 300mm
Hizo ni kelele za chura mbele ya tembo.TPDF wamepewa onyo na waasi vinginevyo watakiona cha mtema kuni
JWTZ chini ya maza iko poa sana.Naskia JWTZ walipeleka under 20 years hao wahuni wamesha anza kulalamika je wakienda wakina Kibu D itakuaje sasa..
Wanalialia kisa BM-21 silaha ya kawaida kwa sasa kwenye nchi za Afrika. Sema Mrusi aliunda, hata vita ya Kagera hizi Grad ziliogopwa sana. Tatizo lake huwa zinakuja kwa kelele, unaisikia inaunguruma na hasa ikiwa usiku. Sasa hujui itatua wapi.Wajuvi mtuelishe
Ona chawa hiliJWTZ chini ya maza iko poa sana.
Kabisa,,, sisi kwenye vita ya msituni hakuna yoyote anaetukaribia kuanzia africa mashariki na kati mpaka ukanda wa sadc,, hata huyo msouth labda angani lkn sio porini,, cha ajabu humu kuna watu wakianza kumpamba kagame utasema labda yeye Alexander the great, kumbe yeye mwenyewe mziki wa mbongo anaujua vere wele....Vita ya porini hakuna anayetukaribia ukanda huu.