fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Waambie,hakuna kiongozi asiyetia fedha kwa makanisa au misikiti,hajaanza yule mama,waache chuki zao kwa yule mamaMagufuli alikuwa anapeleka bahasha zilizotuna kwa Cardinal yule na bwana Mufti. Huyu wa KK nyingi yeye alikuwa anazifuata mwenyewe maana Yuko kwenye kitengo.
Yaani thread yako Ina ujumbe muhimu sana.Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783
Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785
Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.
TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.
Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.
Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
Alafu 😀😀😀Yaani thread yako Ina ujumbe muhimu sana.
Ebu jaribu kurekebisha hizo lafudhi alafu urudi!
Michango ya Mama yule hasa kwenda Katoliki imekuwa mingi sana siku za hivi karibuni, why kwenda Katoliki pekee?
Hayo majinga yanapendaga cheap popularity, km wanatamani siasa wavue majoho. Mbn makanisani mwao kumejaa kila aina ya ufisadi na dhuluma, ubaguzi wa kidini. RC si kanisa ni kundi la wenye maslahi yao binafsi. Waliangamiza raia Rwanda, mashetani tu hao. Serikali iache kuwaogopaHii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783
Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785
Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.
TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.
Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.
Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
Isiwe Katoliki isitishwe na arudishiwe pesa zake mara mojaMichango ya Mama yule hasa kwenda Katoliki imekuwa mingi sana siku za hivi karibuni, why kwenda Katoliki pekee?
Hiyo ndiyo kazi ya kanisa sasaWamefanya vyema
Na kanisa lina nafasi kubwa sana yakuifanya serikali iache baadhi ya mienendo ila ni vile wakikubali kulamba asali hilo linakuwa ngumu.Hiyo ndiyo kazi ya kanisa sasa
Kutwa wanachangishana kwa haya mafisadi na mashirikina unadhani kazi litakuwa na nguvu ya kukemea uovu wa CCMNa kanisa lina nafasi kubwa sana yakuifanya serikali iache baadhi ya mienendo ila ni vile wakikubali kulamba asali hilo linakuwa ngumu.
Uwezi mkemea anaekusaidia hiyo nguvu haipoKutwa wanachangishana kwa haya mafisadi na mashirikina unadhani kazi litakuwa na nguvu ya kukemea uovu wa CCM
Usidanganyike,hao maaskofu wa kenya ni aibu tupu,kwenye uchaguzi 2022 ruto aliwanunua wote,na ndani ya makanisa yao,wakiwemo hao makatoliki walikuwa wakimpigia kampeni ruto hadharani,hivi sasa wameanza kumsema vibaya lakini ni wao ndio walikuwa wakimsifu,msiwaone hivi sasa eti wanamsema ruto,na ndio maana aliwahibu hadharani kwa kuwaita waongo kwani anajua kuwa aliwahonga,hizo siasa zao tuwaachie wao wenyewe,maaskofu wetu hawana cha kujifunza huko kenyaTEC wana cha kujifunza kwa wenzao wa Kenya. Acheni kuwakumbatia wanasiasa. Hizo hela zao wanazowapa kila siku kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Kanisa, zina laana!
Ni ujinga na siyo lengo la kanisa kuwa linaleta wana siasa kuchangisha fedha kila maraUwezi mkemea anaekusaidia hiyo nguvu haipo
Uko sahihi kabisa memba na pia siasa za Kenya ni za ukabila na inaonekana Askofu huyo ni mjaluo kulingana na Jina lake.Siasa za kenya tuziache huko huko,kwani hayo hayo makanisa ndio yalimkumbatia ruto na kusema ni chaguo la Mungu,waliwakataa azimio la umoja hadharani,ambalo lilikuwa kosa kubwa sana,kuchagua upande na walikuwa wanapokea michango ya ruto,sasa eti wameanza kumkataa ruto,hayo ni majibu ya upuuzi wao na ruto anawatukana sawasawa kwani anajua aliwahonga na ushahidi anao