Kimsingi Vingi kamalizia , na ndio maana kwenye msiba walivyotaja sijui kama vinazid vitanoKile cha Msamvu Moro kilianza kujengwa mwaka 2014 enzi za JK! Kwa hiyo miradi mingine alikuwa anamalizia waliyoanza wenzake!
Wabongo akili zao ni kama haziko vile!!Tatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
Kumbe hujui kitu kijana. Kilichofanyanyika awamu ya 5 ni unyampara tu kwenye hilo Daraja.Barua ya ombi la pesa inajenga nyumba?
Wakati msimamizi akiwa jpmHapana si kweli
Awamu ya NNE iliyotandika lami kuunganisha nch nzima nayo tutasemaje ?
Sasa msimizi alikuwa kikwete au magufuli.Barabara za mitaani Dar ni miradi ya World Bank chini ya mradi wa DMPD , na muasisi wa huo mradi ni Jakaya Kikwete.
Mradi ulisainiwa mwezi wa tatu mwaka 2015 chini ya kikwete sema utekelezaji umefanyika awamu ya Magufuli.https://projects.worldbank.org/en/projects-operations/project-detail/P123134
Na pesa nyingine zimeponywa kwa nguvu kutoka kwa wana NchiWatanzania tuna ujinga sana.
Hizo hela ni za kwetu. Badala ya kujipongeza Kodi zetu zimefanya kazi tunampoteza mtu mmoja.
And he failed miserably, Kikwete kasepa kaacha kigoma haijaungwa na lami , hadi kesho ipo hivyo hivyo , na isingekua juhudi za Zitto kuomba pesa mabeberu ungekuta haina kabisaWakati msimamizi akiwa jpm
Na wakati wa JPM msimamizi akiwa nani? Mbona hamumtaji!!???Wakati msimamizi akiwa jpm
Swali rahisi tu, ukimtongoza mwanamke ila mwenzio akaja akampa mimba huyo mtoto ni wako?Barabara za mitaani Dar ni miradi ya World Bank chini ya mradi wa DMPD , na muasisi wa huo mradi ni Jakaya Kikwete.
Mradi ulisainiwa mwezi wa tatu mwaka 2015 chini ya kikwete sema utekelezaji umefanyika awamu ya Magufuli.https://projects.worldbank.org/en/projects-operations/project-detail/P123134
Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha
Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara
Ujenzi wa gati Mafia
Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe,....
Elimu bila ada
Vituo vya afya vya kila halmashauri
Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda
Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji
Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni
Ujenzi wa masoko makubwa (Soko la Job Ndugai Dodoma, Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na miko mengine)
Ujenzi wa standi za kisasa (Mbezi, Dodoma, Morogoro, Korogwe, na nk.)
Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri
Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi
Madaraja ya waenda kwa miguu (Dar na Mwanza)
Ukarabati shule kongwe na vyuo (Pugu, Galanos, na nk.)
Kukamata watu hovyo na kubambika kesi1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
CRDB ChatoChato International Airport (CIA)
1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Upo positive sana nilichojifunza wengi tunatazama upande wa pili.Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha
Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara
Ujenzi wa gati Mafia
Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe,....
Elimu bila ada
Vituo vya afya vya kila halmashauri
Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda
Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji
Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni
Ujenzi wa masoko makubwa (Soko la Job Ndugai Dodoma, Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na miko mengine)
Ujenzi wa standi za kisasa (Mbezi, Dodoma, Morogoro, Korogwe, na nk.)
Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri
Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi
Madaraja ya waenda kwa miguu (Dar na Mwanza)
Ukarabati shule kongwe na vyuo (Pugu, Galanos, na nk.)
TAZARA flyover ameikuta!.1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Malipo kwa Control Number ni initiative Bora kuliko zote. Hii iendelezwe kwa udi na uvumba!Tazara flyover siyo mradi wa awamu ya tano ulikuwa wa awamu ya nne kwa hiyo uundolewe
Jambo jingine ni elimu bure
Malipo kwa control no
Ununuzi wa ndege mpya
Cheti feki cha Makonda je?.Wafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia