Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha
Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara
Ujenzi wa gati Mafia
Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe,....
Elimu bila ada
Vituo vya afya vya kila halmashauri
Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda
Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji
Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni
Ujenzi wa masoko makubwa (Soko la Job Ndugai Dodoma, Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na miko mengine)
Ujenzi wa standi za kisasa (Mbezi, Dodoma, Morogoro, Korogwe, na nk.)
Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri
Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi
Madaraja ya waenda kwa miguu (Dar na Mwanza)
Ukarabati shule kongwe na vyuo (Pugu, Galanos, na nk.)