Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Kile cha Msamvu Moro kilianza kujengwa mwaka 2014 enzi za JK! Kwa hiyo miradi mingine alikuwa anamalizia waliyoanza wenzake!
Kimsingi Vingi kamalizia , na ndio maana kwenye msiba walivyotaja sijui kama vinazid vitano
 
Tatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
Wabongo akili zao ni kama haziko vile!!


Mwenye uzi kaeleza kabisa uzi wake unahusu miradi ya MAENDELEO iliyokamilika hadi Rais Magufuli anakufa lakini wewe unaanzisha uzi wako tena, Duh hatari hii, hapa tunataka utupe miradi iliyokamika full stop kama unahitaji mapambio nenda kuna special threads zimeanzishwa kwa ajili hiyo.

Kwa hali hii hatutaendela kamwe, ndo nyie ambao huwa mnaulizwa utaenda mjini leo? Unajibu nitapita na kwa shangazi badala ya kusema ndio au hapana wewe unaanzisha mjadala mwingine [emoji23][emoji23] just a joke!!

Rip John Pombe Magufuli!!
 
Barabara za mitaani Dar ni miradi ya World Bank chini ya mradi wa DMPD , na muasisi wa huo mradi ni Jakaya Kikwete.


Mradi ulisainiwa mwezi wa tatu mwaka 2015 chini ya kikwete sema utekelezaji umefanyika awamu ya Magufuli.https://projects.worldbank.org/en/projects-operations/project-detail/P123134
Sasa msimizi alikuwa kikwete au magufuli.
 
Fedha za watu alizokwapua kwenye akaunt zao, pia mikopo aliyoongeza kwenye deni la taifa kwa zaidi ya asilimia 60,
Haviendani kabisa na maendeleo yanayo hubiriwa
Ni swala la muda tu kunaupigaji mkubwa kuwahi kutokea kuanzia uhuru

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Tamkumbuka kwa kupeleka barabara ya lami kijijini kwetu awamu zote amna aliyewai kuwaza kutuwekea lami ila yeye alivyoingia tu ata mi5 aikuisha tukaanza mtelezo....tuna mipango tukujengee sanamu. R.I.P.JPM
 
Wakati msimamizi akiwa jpm
And he failed miserably, Kikwete kasepa kaacha kigoma haijaungwa na lami , hadi kesho ipo hivyo hivyo , na isingekua juhudi za Zitto kuomba pesa mabeberu ungekuta haina kabisa

Tuachane na hilo
Kwan awamu ya Magu hakua na waziri wa ujenz na usafirishaj ?
 
Barabara za mitaani Dar ni miradi ya World Bank chini ya mradi wa DMPD , na muasisi wa huo mradi ni Jakaya Kikwete.


Mradi ulisainiwa mwezi wa tatu mwaka 2015 chini ya kikwete sema utekelezaji umefanyika awamu ya Magufuli.https://projects.worldbank.org/en/projects-operations/project-detail/P123134
Swali rahisi tu, ukimtongoza mwanamke ila mwenzio akaja akampa mimba huyo mtoto ni wako?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Tajeni vitu spesfic usivitaje kwa ujumla wa dhahania kuficha Mapungufu
Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha

Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara

Ujenzi wa gati Mafia

Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe,....

Elimu bila ada

Vituo vya afya vya kila halmashauri

Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda

Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji

Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni

Ujenzi wa masoko makubwa (Soko la Job Ndugai Dodoma, Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na miko mengine)

Ujenzi wa standi za kisasa (Mbezi, Dodoma, Morogoro, Korogwe, na nk.)

Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri

Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi

Madaraja ya waenda kwa miguu (Dar na Mwanza)

Ukarabati shule kongwe na vyuo (Pugu, Galanos, na nk.)
 
1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Kukamata watu hovyo na kubambika kesi
 
Kuvuruga uchaguzi mkuu
1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
 
Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha

Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara

Ujenzi wa gati Mafia

Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe,....

Elimu bila ada

Vituo vya afya vya kila halmashauri

Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda

Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji

Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni

Ujenzi wa masoko makubwa (Soko la Job Ndugai Dodoma, Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na miko mengine)

Ujenzi wa standi za kisasa (Mbezi, Dodoma, Morogoro, Korogwe, na nk.)

Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri

Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi

Madaraja ya waenda kwa miguu (Dar na Mwanza)

Ukarabati shule kongwe na vyuo (Pugu, Galanos, na nk.)
Upo positive sana nilichojifunza wengi tunatazama upande wa pili.
 
1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
TAZARA flyover ameikuta!.
 
Back
Top Bottom