Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

Akanyagie hapo hapo

Mawaziri vilaza mfano wa Nape na Makamba wanaotembelea nyota za baba zao piga chini

Aendelee kuwavuruga watoa taarifa mpaka wanyooshe maelezo
 


Kweli kabisa, ataua upinzani mpaka wa Msumbiji
 
Mshauri aoneshe vyeti kwanza, akikubali na kuonesha tutajua anashaurika halafu tutamshauri na mengine.
Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…