MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Hatuwezi kumshauri muuwaji yule atuonyeshe kwanza Ben saa8 Yuko wapi na Azory Gwanda ataonekana lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben saa nane, Azory Gwanda na Chacha Wangwe kawaulize chadema. Makonda muulize kuhusu CCMHatuwezi kumshauli muuwaji yule atuonyeshe kwanza Ben saa8 Yuko wapi na azory gwanda ataonekana lini?
Akanyagie hapo hapo
Wote tumeshuhudia kazi kubwa na njema inayofanywa na mwenezi wa CCM komredi Makonda tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo.
Napenda kuwaalika wote wenye Mapenzi Mema na Taifa letu karibuni katika uzi huu wa Ushauri kwa kiongozi wetu huyu.
Ushauri wenu utafanyiwa kazi kwani ukimshauri komredi Makonda ndio umekishauri Chama.
Mungu wa Mbinguni awabariki.😀
Karibuni!
Jibu kuntu sanaBen saa nane, Azory Gwanda na Chacha Wangwe kawaulize chadema. Makonda muulize kuhusu CCM
Hata yeye ni mtu maalum, aombe tu codes aanze kutumia na huo usafiri, hakika ataua upinzani wote ndani na nje ya chama na serikali.Ule ni usafiri wa maalumu,mpaka Wazee wampe codes![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Wataalam wa huo usafiri wamejaa tele huko.Hahah.. hasa kule simiyu.
Anajitofautishaje sasa kwa kudandia fuso huku akialika wapiga picha?Amechoka kutumia fisi tangu kuzaliwa kwake ndio maana ameamua kuwa wa tofauti.
Ushatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Hata Biden ataondoa zuio la Paulo kuingia USA kwa sababu atakuwa na jambo jipya ulimwenguni na vyombo vya habari vya huko kwa Biden vitapiga hela vikimualika aende huko na huo usafiri, mwamba atamaliza kila kitu.Kweli kabisa, ataua upinzani mpaka wa Msumbiji
comrade kwa mkeo labdaNamshauli comrade makonda achukue fomu agombee nafasi ya spika wa bunge
Mshauri aoneshe vyeti kwanza, akikubali na kuonesha tutajua anashaurika halafu tutamshauri na mengine.
Wote tumeshuhudia kazi kubwa na njema inayofanywa na mwenezi wa CCM komredi Makonda tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo.
Napenda kuwaalika wote wenye Mapenzi Mema na Taifa letu karibuni katika uzi huu wa Ushauri kwa kiongozi wetu huyu.
Ushauri wenu utafanyiwa kazi kwani ukimshauri komredi Makonda ndio umekishauri Chama.
Mungu wa Mbinguni awabariki.😀
Karibuni!