Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

🀣🀣🀣🀣
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1723990895014392071?t=INhzNjPGSIRRIYAU301czQ&s=19
 
Jamaa anaipoteza chopa kwa kuingia na usafiri wa wanyonge

Wanyonge wamepata mtu wa kuwasemea
 
Tunahitaji kuwa na tawi kubwa la chama tawala kwa diaspora wetu waliopo Marekani. Tunamkaribisha hapa Washington DC katibu wetu wa itikadi aje alete hamasa.
Karibu πŸŽ…
 
Huyu Mwamba, tumuache, yaan tumuache, huenda akawa kiongozi wa kawaidaa sana, alotoka familia ya kimasikini sana, lakini ndio akawa kiongozi mwenye Kupendwa na Watu kumshinda Hata Magufuli mwenyewe.

Huyu jamaa ziara yake, hana Msanii Wala nn, ila watu wanamfata, maelfu kwa maelfu.

Aina yake ya Uongozi, ni aina ya Uongozi wa Damuni, sio wa kutengeneza, ana Karama ana nyota ya Kupendwa.

Huyu mtu anaongea unaona kaongea Kiongozi, ana maoni makubwa, hapendi dhuluma, ni mtu wa haki, haongei uongo wala kusingizia.

Kwa namna hii, Nape na Makamba ni lazima wamuonee Wivu.

Ilimchukua Makamba kutumia mitungi ya Gesi, na Bado akakoswa umati wa watu, Tena akiwa WAZIRI.

Leo hii Makonda, mwenezi lkn anajaza namna hii watu?

Mungu akiwa pamoja nawe, hamna aliye juu yako.
 
πŸ˜πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜€Bado Hujasema.............
 
Ungezungumzia mambo ya Karama aliyojaliwa. Hilo halina ubishi.

Ila hili la kusema haongei uongo na hapendi dhuluma, ungeacha.
 
Nonsense
 
Ukweli ndiyo huo.
 
...CHAWA Utawajua TU !!....[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Tondogoso
Buyenzegele
Dindi
Jolowe
Dede
Jiji
Suludi
Ngubalu
Upulu
Ukoma
Nhundwa
Mitunga
Shing'weng'we


MASALA KULANGWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…