Makonda nashauri utumie usafiri wa fisi Kanda ya Ziwa, utakuwa mwamba usiotikisika milele!

Mlikuwepo, mkapewa nafasi MMESHINDWA. Kaja mtu aliyekuwa bench miak mi 3 kwa siku chache kuonesha potential kuzudi nyie ambao mmekaa kwa miaka, mnamlaumu nani, mnatakiwa mjilaumu nwenyewe kwa kushindwa kutumia nafasi mlizopewa kuleta maendeleo na hamasa nchini

Makonda endelea kumpigania Dr. Samia, Endelea kukipigania CCM

#2025 SAMIA SULUHU HASSAN
 
Wao ilikuwa ni kusifia tu ooh mama anaupiga mwingi, nani kama mama wakitoka hapo wanavuta mashuka wanalala.

Sasa kimuhemuhe kimeanza wanaona wanaonewa..ooh makonda hana mamlaka ya kuwaagiza mawaziri..ooh mara hivi.

Mwisho wa sherehe, semina, safari na warsha umefika..kila mtu apambane na hali yake.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 

No offense makonda anachofanya ni siasa tu, na hiyo ndio nafasi yake. Ww unadhani hivyo vitu anavyo agiza mawaziri vinaota kama uyoga?

Asilimia 80% ya vitu anavyo agiza havito fanyika. Na kuna sababu nyingi
 
Hakuna cha Maendeleo Nchi ina Miaka 62 ya Uhuru mpaka leo Viongozi wanahangaika na Matundu ya Vyoo Madawati Maendeleo hutayapata kwa Viongozi wanaotembelea Magari ya Milioni 600 ni Kichaa tu ndio anaweza kuwaza Kama wewe kuwa Makonda atakuletea Maendeleo

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kwani hujawahi kuona jinsi baadhi ya watu wanavyokimbizana kuwahi FUTUI? Siku zote watu hupenda vioja maana ni njia ya kuounguza stress.

Labda CCM baada ya kujiridhisha imewapa stress kubwa wananchi, wameamua mjinga atakayewachekesha ili wapunguze stress.
 
Chawa
 
Ushauri konki kabisa huu. Mawazo yako yafanyiwe kazi
 
Fisi wanatumia vibibi vikongwe, ukipanda mwanaume unakiuka miiko
 
Fisi anaetumiwa kwenye usafiri anaitwa nhawa, hawa ni wakubwa na wanaweza kutumwa, kawaida hufugwa na wabibi na hutumiwa kuleta kitoweo kupeleka taarifa au kama usafiri, sikuhizi nhawa wameadimika kwani masharti ya kumtumikisha ni magumu vijana hawayawezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…