Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #81
Ila ni usafiri wa heshima kuliko kukwea ngamia wasiojua kutoka nduki hali ikiwa tete 😁Fisi mnapanda kwenu tu siyo kanda ya ziwa wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ni usafiri wa heshima kuliko kukwea ngamia wasiojua kutoka nduki hali ikiwa tete 😁Fisi mnapanda kwenu tu siyo kanda ya ziwa wote
Mtapata tabu sanaaYeye huyu Makonda makalio makubwa katenda kipi zaidi ya kubwata?
Kumbuka hata USA walimpiga marufuku kukanyaga nchi yao?Mtapata tabu sanaa
Hapa ni Tanzania sio USAKumbuka hata USA walimpiga marufuku kukanyaga nchi yao?
Umepandisha sukari ?kumbe tupo USA na nilikuwa sijuiKumbuka hata USA walimpiga marufuku kukanyaga nchi yao?
Naunga mkono hojaHapa ni Tanzania sio USA
Mlikuwepo, mkapewa nafasi MMESHINDWA. Kaja mtu aliyekuwa bench miak mi 3 kwa siku chache kuonesha potential kuzudi nyie ambao mmekaa kwa miaka, mnamlaumu nani, mnatakiwa mjilaumu nwenyewe kwa kushindwa kutumia nafasi mlizopewa kuleta maendeleo na hamasa nchini
Makonda endelea kumpigania Dr. Samia, Endelea kukipigania CCM
#2025 SAMIA SULUHU HASSAN
Hakuna cha Maendeleo Nchi ina Miaka 62 ya Uhuru mpaka leo Viongozi wanahangaika na Matundu ya Vyoo Madawati Maendeleo hutayapata kwa Viongozi wanaotembelea Magari ya Milioni 600 ni Kichaa tu ndio anaweza kuwaza Kama wewe kuwa Makonda atakuletea MaendeleoMlikuwepo, mkapewa nafasi MMESHINDWA. Kaja mtu aliyekuwa bench miak mi 3 kwa siku chache kuonesha potential kuzudi nyie ambao mmekaa kwa miaka, mnamlaumu nani, mnatakiwa mjilaumu nwenyewe kwa kushindwa kutumia nafasi mlizopewa kuleta maendeleo na hamasa nchini
Makonda endelea kumpigania Dr. Samia, Endelea kukipigania CCM
#2025 SAMIA SULUHU HASSAN
[emoji3516]unamaanisha umeshindwa kwa hoja unatukanaYeye huyu Makonda makalio makubwa katenda kipi zaidi ya kubwata?
Kwa lile wowowo siyo?????Nape ndo nani atiii? January naye ndo nani atiii?
Makonda babalalooo! Makonda kubwa lahooo?
Kwani hujawahi kuona jinsi baadhi ya watu wanavyokimbizana kuwahi FUTUI? Siku zote watu hupenda vioja maana ni njia ya kuounguza stress.Nimefatilia kwa karibu tangu ndugu Makonda aliporudishwa chamani kama Katibu Mwenezi nimegundua kwamba Watanzania walimmiss sana katika utendaji wake.
Ujio wa Mwenezi huyu umedhihirisha wazi Watanzania wengi wameupokea kwa moyo mkunjufu wameufurahia.
Katika ziara zake zote inaonyesha ni namna gani Watanzania wanampenda tofauti na habari za watu wachache mtandaoni wanaomchafua.
Nimejaribu kuangalia mahaba ya watanzania Makonda anapendwa sana na Watanzania kuliko Nape na Januari.
Hivi hilo zuio halijawa expired kweli?Kumbuka hata USA walimpiga marufuku kukanyaga nchi yao?
ChawaNimefatilia kwa karibu tangu ndugu Makonda aliporudishwa chamani kama Katibu Mwenezi nimegundua kwamba Watanzania walimmiss sana katika utendaji wake.
Ujio wa Mwenezi huyu umedhihirisha wazi Watanzania wengi wameupokea kwa moyo mkunjufu wameufurahia.
Katika ziara zake zote inaonyesha ni namna gani Watanzania wanampenda tofauti na habari za watu wachache mtandaoni wanaomchafua.
Nimejaribu kuangalia mahaba ya watanzania Makonda anapendwa sana na Watanzania kuliko Nape na Januari.
Ushauri konki kabisa huu. Mawazo yako yafanyiwe kaziUshatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.
Wahehe nao wanasuburi atumie dog transport 😂😂Ushauri konki kabisa huu. Mawazo yako yafanyiwe kazi
Fisi wanatumia vibibi vikongwe, ukipanda mwanaume unakiuka miikoUshatumia aina nyingi za usafiri kama vile bodaboda, bajaji, ndege, kimbinyiko, farasi n.k.
Upo kanda ya ziwa sasa kwa nini upande fuso? Huo sio usafiri wa wajanja huko kanda ya ziwa, wajanja wa huko hawatumii fuso wala gari la aina yoyote ile bali hutumia fisi.
Jaribu kutumia Fisi kama usafiri huko utakuwa mwamba usiotikisika milele, ataua kabisa upinzani ndani na nje ya chama maana hautakuwa mjanja tu bali mbabe kitaifa.
Usipuuze ushauri wa kambi ya fisi.