Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Shida anataka amfunike chongolo ili yeye apewe ukatibu mkuu.
Chongolo ni mtendaji mkuu wa Chama
Makonda ni msemaji wa chama


Sekretarieti inayotaka report ni ya Chama cha Mapinduzi sio ya Makonda
Means umkuti keagan wala Mama keagan

Anachotamka ni maelekezo ya kutoka ktk chama yeye ndio msemaji na Chongolo ni Mwenyekiti wa sekretarieti

Mawaziri wanatakiwa kupeleka report huko sio nyumbani kwa Makonda
Jaribu kuelewa na kukubali kuwa chama kinaelekeza kupitia vikao anapewa msemaji (mwenezi)
 
Unaelewa teamwork maanake?. Do you think it’s that easy hata km sio msomi he’s surrounded with intellectuals who can pass through the files just one after another so all you need is to relax. He’s not that weak come ooooon!!

Team work kwenye Nini?. Katiba inasemaje kuhusu kuwajibika kwa mawaziri?. Itikadi na uenezi inaingiaje kusimamia mawaziri?. Kuna Waziri Mkuu na Rais, na hawajawahi kutoa kauli ya kijinga Kama hiyo. Shauri zenu mmeyataka wenyewe
 
Chongolo ni mtendaji mkuu wa Chama
Makonda ni msemaji wa chama


Sekretarieti inayotaka report ni ya Chama cha Mapinduzi sio ya Makonda
Means umkuti keagan wala Mama keagan

Anachotamka ni maelekezo ya kutoka ktk chama yeye ndio msemaji na Chongolo ni Mwenyekiti wa sekretarieti

Mawaziri wanatakiwa kupeleka report huko sio nyumbani kwa Makonda
Jaribu kuelewa na kukubali kuwa chama kinaelekeza kupitia vikao anapewa msemaji (mwenezi)
Ripoti ya CAG makonda aliwahi kuisoma?
 
Chongolo ni mtendaji mkuu wa Chama
Makonda ni msemaji wa chama


Sekretarieti inayotaka report ni ya Chama cha Mapinduzi sio ya Makonda
Means umkuti keagan wala Mama keagan

Anachotamka ni maelekezo ya kutoka ktk chama yeye ndio msemaji na Chongolo ni Mwenyekiti wa sekretarieti

Mawaziri wanatakiwa kupeleka report huko sio nyumbani kwa Makonda
Jaribu kuelewa na kukubali kuwa chama kinaelekeza kupitia vikao anapewa msemaji (mwenezi)

Na bado, mtatoa ufafanuzi mpaka mchoke. Kila mtu anamjua Makonda ni mtu wa ego, anajijenga yeye subiria uone.
 
anashughullikia maswala ya msingi ya itikadi na sera ZA chama 😂
20231101_171037.png
 
Kwa taarifa yako zote zilipata mafanikio makubwa sana
we kumbe zuzu km yeye, ipi imefanikiwa, madawa ya kulevya yameisha? Yamemalizwa kwa kauli zake? Jiji bado chafu, mashoga ndio wameongezeka, Dsm watu wanaenda sana kwanza asingweza kuwakataza ni kwasababu ni zoba, Kweli Mpumbavu hakosi mwenzie
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
Hivi Samia alilewa wakati analipeleka jina la huyu lofa?Baadhi ya kazi ya Mwenezi moja ni kutoa taarifa ya yaliyojiri ndani ya vikao vya chama, lingine kueneza sera, imani, ilani na itikadi ya chama. sasa hili fala linampa maagizo mpaka waziri mkuu, km siyo kichaa au pumbavu lisilobadilika ni nini. Ndio maana vijana wengi wasomi wataendelea kuidharau CCM, hata nje ya nchi tutadharauliwa.
 
Back
Top Bottom