Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Nitaheshimu hilo mkuu , sio kwamba tuna nia mbaya tunakataa ndoa kama fimbo ya kuwarudisha kwenye mstari hawa dada zetu wamejisahau sana , na fimbo yetu ya moto ni ndoa kwa sababu ni ktu wanakipenda mno.
Shida ni elimu, mwanamke aliyelelewa kwenye misingi ya ndoa na akajifunza kwa mama yake hawezi jisahau.
 
Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka, ndoa haina kitu cha ziada zaidi ya ngono. Nje ya ngono ni stress tupu, mifano tunayo mingi tu ( Manara, Dr.Mwaka n.k)
#KATAANDOA #NDOANIUTAPELI
Hao waliolea Jamii yaani wapate sifa hawawezi kuwa mfano halisi
 
Kwenye kipengele kipi kwa mfano.
Mi nadhani zinamlinda mwanamke na mtoto.
Ukiacha hovyo watoto watatunzwa na nani
 

Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
Lakini kuna watu wananyadhifa kubwa ndani ya serikali alafu hawajaoa wala kuolewa hapa Tanzania!!!!!!
 
Wanaopinga ndoa ni watoto wa masingle mother ,mtoto aliye lelewa na wazazi wake wawili hawezi kusema ndoa haina maana.
Kwakweli,kama mtu ulizaliwa ktk ndoa huwezi kubali kupita kuzaa zaa hovyo kama simbilisi.
 
Huna akili wala upeo. Ndoa sio ya kila mtu, kuna watu wana sababu za msingi za kutokuoa. We unayedhani kila mtu lazima aoe ni mjinga na usieweza kufikiri. Sio lazima. Sio ya kila mtu, na hakuna dini inalazimisha. Kasome upya.
 
Mimi nimeoa, ninafamilia.

Ila wanaokataa ndoa wanahoja ya msingi Kwa kizazi cha SASA.
Mfumo unaoisapoti taasisi ya Ndoa ni mfumo wa kizamani.
Ukiona MTU anatumia mfumo wa sasa alfu muda huohuo anasema Ndoa ni muhimu ujue ni Mwendawazimu
Mfumo ni huo huo aujabadilika,sema ishu ya malezi na kutojua kuchagua.
Zamani ulichaguliwa na ndugu kwa sababu ndugu wanajua A to Z ya mwenza.
Kwa SAsa nani anatake action kwenda kuchunguza A to Z ya anapotaka kuoa au kuolewa, zaidi ya kutazama tako,ofisi,gari,muonekano wa nje,nk.
Asili bado Ina nguvu Sana juu ya maisha ya mtu labda mtu mwenyewe awe na elimu ya kutosha kuikataa asili.
1.unaoa mtoto wa msimbe msimbe ni mwanamke anaezaa hovyo hovyo na KILA mwanaume au asiyetulia na ndoa unategemea nini
2.Unaoa ukoo wa wezi, malaya, nk
3.Unaoa ukoo wenye hasira
4.Ukoo wenye maradhi ya kiroho na kimwili.

Lakini ukienda chunguza asili utayagundua.
Jiulize kwann dini na mila zinakataa sex before marriage ni sumu Sana na ndio chanzo cha talaka nyingi.
Ngono kabla ya ndoa uficha tabia mbaya za mtu.
 
Unapokataa ndoa unatoa nafasi ya kuolewa. Unalijua hilo ?
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
Kwahiyo ukioa unakuwa kiongozi Bora [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Akili za kipuuzi hizi


Kawasome wakina isack Newtown na wenzake Kwa waliyoyafanya kwenye dunia bila kuwa na hizo ndoa.

Elon musk Kwa mambo ambayo ameyafanya duniani wewe na kizazi chako hamuwez kuyafanya hata baada ya miaka 2000 ijayo na Hana ndoa.


Christiano ronaldo Hana ndoa na ni moja ya wachezaji waliofanikiwa kwenye soka.


Ulivyo mjinga na mbumbumbu unasema waliooa huwa Bora.


Mwigulu nchemba kaoa Ila kila siku anawawekea tozo maisha yanakuwa magumu Hadi akili zinawakaa sawa.

Diamond hajaoa Ila ana maisha mazuri kushinda wewe ulieoa
 
Watu kwa sababu wamekataa dini haya mbona ni madogo kuliko yajayo.
Dini imeweka miongozo yote mwanadamu aishije.
We huoni wazungu ni kama wanyama siku hizi
 
Sheria zipi za ndoa zina wafavour wanawake?
Mimi nafahamu kwa Tz kuna aina tatu za ndoa nazo ni ndoa ya kimila,kidini na kiserikali.
Hizo zote aina 3 za ndoa ulizotaja zinatambuliwa na sheria ya ndoa ya Tanzania...

Na ziko mahususi hasa hasa kuwapa
Haki wanawake kuliko wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…