Sawa AibaMshana acha uongoo kizazi cha saivi siyo kma kile chenu ambacho ndoa ilikuwa jambo LA muhimu na msingi kama hoja zako hazijatofautisha kizazi na kizazi basi hazina mashiko vijana siyo waoga wala hawana matatizo ya kiakili wala kimaumbile ila Yale wanayoyaona na kuyashuudia
Hoja dhaifu mno, tangu lini kuoa/kutooa kikawa kipimo cha uhuni!? Ukichunguza utagundua wanandoa ndo wahuni wabobezi na yote ni sababu walichokutana nacho ndani ya ndoa ni tofauti na walichotarajia! Ndoa zimejaa migogoro, usaliti chuki na majuto.Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
Tushauri, tuangalie nini kabla ya kuoa?Unaoa KWA kuangalia tako badala ya kichwa ni lzm uone ndoa chungu
Imani ni hali ya mtu kuamini kwenye kitu fulani pasipo sheria/Amri.Imani ni nini na dini ni nini
Ndoa imetengenezwa kwenye mifumo dume ila inaishi kwenye haki sawa ,kataa ndoa kabsa .Kama hana Bikra usioe na kama hakuna Bikra basi hakuna haja ya kuwa na ndoa.
Kifupi #KATAANDOA
Upeo wako mdogo kumbe!Unapokataa ndoa unatoa nafasi ya kuolewa. Unalijua hilo ?
Sisi Wakristo kiongozi wetu (Yesu Kristo) hakuwahi kuoa. Nipe mifano ya hao viongozi waliooa wenye busara, hekima na uongozi bora zaidi ya Yesu.Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
Uko sahihi kabisa, lakini hayo hayajaanza leo au jana yalikuwepo toka enzi.Nina marafiki wengi waliooa, naona na kusikia majuto yao. Nimesuluhisha sana migogoro ya ndoa na kujifunza mengi kupitia migogoro hiyo. Pamoja na yote ninekuwekea mifano michache ya watu maarufu wanaohangaika na ndoa zao kipindi hiki (Dr. Mwaka, Manara) na wewe nipe mifano ya watu wanaojuta kutooa.
Nje ya ndoa kuna uhuru, Sex (ngono) pia inapatikana kama kawaida, watoto unapata bila ndoa na zaidi unaepuka stress zisizo na ulazima.
Ndoa ni kichaka cha wanawake kuwanyonya na kuwavuruga wanaume.
#KATAANDOA
Unashauri watu waoe wanawake wenye maumbo ya kiume , tukisema unasaport upinde kijanja utasema umeonewa?Unaoa KWA kuangalia tako badala ya kichwa ni lzm uone ndoa chungu
Kuna dini zaidi ya4000 ipi ni dini sahihi?Watu kwa sababu wamekataa dini haya mbona ni madogo kuliko yajayo.
Dini imeweka miongozo yote mwanadamu aishije.
We huoni wazungu ni kama wanyama siku hizi
Ww na mzungu ni nani anaishi kama mnyama ?Watu kwa sababu wamekataa dini haya mbona ni madogo kuliko yajayo.
Dini imeweka miongozo yote mwanadamu aishije.
We huoni wazungu ni kama wanyama siku hizi
Nyie ndo mnakula watoto chini ya miaka mitano sio?Bikra zipo nyingi tu mkuu
Vyote hivyo unaweza vipata ukiishi na mwanamke bila ndoa yani kavu kavu.Key points ni kwamba KILA mmoja anaoa kwa sababu zisizofanana na mwingine.
Wengi kwa ajili ya
1.ngono
2.heshuma
3.Kuzaa watoto wote na mama mmoja
4.Mlinzi wa mali
5.Mlinzi wa nyumba yako
6.Katibu au msaidizi wa mambo yako
7
Hizi tofauti ndizo ufanya tuwe tofauti juu ya mitazamo ya ndoa.
Ndoa si kwasababu ya sex,ndoa ni kwasababu ya kujenga familia iliyo boraAkili yako imedumaa! Unahisi kuoa/kuoelewa ndo kila kitu katika maisha!!?? Hiyo sex hata bila ndoa inapatikana tena kirahisi mno. Kwa taarifa yako hata mashoga wana ndoa zao kama nyinyi.
Basi mkuu nisome huko kwny point zangu zingine utanielewa..hiyo achana nayo..Elewa watu hawapingi kukaa na mwanamke, wanapinga kuoa rasmi. Mbona unaonekana una akili, tatizo liko wapi??
Tatizo ni sheria ya ndoa, ukitaka kutumia mfumo dume basi jiandae kupambana na sheria ya ndoa inayompa haki zote mwanamke! Dr. Mwaka amejaribu ku-apply kidogo mfumo dume kwenye sakata lake, nadhani unaona anavyosakamwa!Ndo muurudishe huo mfumo dume..mnashindwaje kuwacontrol wanawake zenu? Hao wanaowaambia wanasumbuliwa na wake zao kuna mahala wameharibu toka mwanzo thats why wameshindwa kucontrol na kuwa na power over them...mwanaume ni kichwa na hivyo inapaswa kuwa..
Maoni ya kihisia hivi hautakaa utambue tatizo lipo wap, ndoa inapopingwa yaani pingu za maishaUoga wa maisha..wanaume nyoronyoro na kupenda kulelewa ndo maana mi janaume mingi siku hizi ni mishoga
5.Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA
Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa ikiwa ni kuogopa kusalitiwa lakini pia kuna la uchoyo na kukwepa majukumu ila haya hawayasemi kwa uwazi
Hili jambo ni kama fasheni yenye mass hallucination ndani yake! Itapita lakini inaweza kuacha madhara kwa wengine hivyo hatuwezi kukaa kimya
Haya ndio makundi yao
1. Wasiojiamini..
Hawaamini kama wanaweza kutunza mke kutokana na story za vijiweni
Hawaajiamini kama wanaweza kumridhisha mwanamke kitandani
Hawajiamini kama wanaweza kutulia kwenye ndoa bila kuwa na vimada
Hawajiamini kwamba watapendwa na hawawezi kusalitiwa!
2. Wenye kasoro za kimaumbile
Wanaojihisi ni vibamia
Wanaojihisi hawawezi kumpa mwanamke ujauzito
Wasiotahiriwa
Wagumba kwa ithibati
3. Waathirika kisaikolojia
Kutokana na makuzi mabaya
Kutokana na malezi mabovu
Waliolelewa na walezi katili
Walioathirika na punyeto
Walioumizwa kimapenzi
Waliosalitiwa
4. Wasela na wakaa geto
Maisha hayajasimama
Wanaishi kwa kuungaunga
Wasiopenda majukumu
5. Wenye kasoro za kijinsia
Mashoga wa kujificha (mchicha mwiba)
Madomo zege
Wenye ulemavu uliojificha
6. Wapenda kitonga, dezo
Wanaolelewa na wake za watu
Wanaotunzwa na mashangazi
Wanaopenda vya bure toka kwa yeyote
Wapenda shortcut
Wavivu wasipenda kujishughulisha
Wapenda starehe
7. Bendera fuata upepo
Wanashadadia tu kwasababu fulani kasema
Wanafuata mkumbo kwakuwa fulani yumo
Wanadhani ndio usasa na ndio ujanja
Washauri wao wakuu
Walioshindwa kuhimili changamoto za ndoa
Walioachwa, waliopigwa kibuti
Walioharibu kwenye ndoa zao
Wapotoshaji
Nisiandike sana ngoja niweke kituo hapa
πππ Ni baraka za MUNGU tu..tafuta utazipata na utafurahia maishaNyie ndo mnakula watoto chini ya mika mitano sio?