Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Sawa Aiba
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
Hoja dhaifu mno, tangu lini kuoa/kutooa kikawa kipimo cha uhuni!? Ukichunguza utagundua wanandoa ndo wahuni wabobezi na yote ni sababu walichokutana nacho ndani ya ndoa ni tofauti na walichotarajia! Ndoa zimejaa migogoro, usaliti chuki na majuto.
#KATAANDOA
 
Imani ni nini na dini ni nini
Imani ni hali ya mtu kuamini kwenye kitu fulani pasipo sheria/Amri.

Dini ni imani zilizo wekewa sheria ili zifuatwe na watu wengine pasipo kuhoji chochote. You just believe, No questioning that's Religion.
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia bora kiroho na kimwili, familia ndio ujenga taifa bora.Duniani pote huwezi ukawa muhuni ukapewa uongozi haipo hio.
Viongozi wote wameoa
Sisi Wakristo kiongozi wetu (Yesu Kristo) hakuwahi kuoa. Nipe mifano ya hao viongozi waliooa wenye busara, hekima na uongozi bora zaidi ya Yesu.
 
Uko sahihi kabisa, lakini hayo hayajaanza leo au jana yalikuwepo toka enzi.
Kabla sijaingia kwenye hiyo taasisi nami baadhi ya marafiki nilisuluhisha sana mpaka nikawa napata hofu lakini maisha ni kuwa optimistic tu, zaidi ya miaka 15 ya ndoa sijawahi kujuta kabisa nafurahia maisha.

Siyo lazima yaliyotokea kwa mtu yatokee kwako kila mtu ana destiny yake.
 
Vyote hivyo unaweza vipata ukiishi na mwanamke bila ndoa yani kavu kavu.
 
Akili yako imedumaa! Unahisi kuoa/kuoelewa ndo kila kitu katika maisha!!?? Hiyo sex hata bila ndoa inapatikana tena kirahisi mno. Kwa taarifa yako hata mashoga wana ndoa zao kama nyinyi.
Ndoa si kwasababu ya sex,ndoa ni kwasababu ya kujenga familia iliyo bora
Dini hairuhusu kuishi na mwanamke bila ndoa

Ndoa ni kutii maamrisho ya Mungu.
 
Tatizo ni sheria ya ndoa, ukitaka kutumia mfumo dume basi jiandae kupambana na sheria ya ndoa inayompa haki zote mwanamke! Dr. Mwaka amejaribu ku-apply kidogo mfumo dume kwenye sakata lake, nadhani unaona anavyosakamwa!
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kumuendesha mwanaume...#KATAANDOA
 
5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…