Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Hii mada najua tu lazima wanawake waiunge mkono kwa 100% sababu wanajua faida wanazozipata waki ingia kwenye ndoa...

Hata wanawake mashoga(Lesbians) wapo vilevile usiegemee kwa wanaume tu....[emoji1]
Mi nimeolewa mkuu..natamani na binti yangu aje awe na maisha ya familia na kijana wangu aoe pia so it's my wish. Hakuna faida ya ziada zaidi ya upendo na kuunganisha familia pamoja na sio kuzaa leo huko kesho kule mwisho wa siku ni kutengeneza jamii ya hovyo sana.

So lesbians nao ni kuikataa nature yao na kujitutumua kuuvaa ujikedume.

Hii kampeni ni ya kipagani na ya kipinga Imani zetu zote mbili.
 
Mzungu aliyekuletea wewe dini ina maana haijui iyo miongozo?

Waafrika hata dini mliletewa na hao hao wazungu.

Halafu sa hizi mnajiona kwamba ninyi ndio mnaifahamu sana hiyo dini kuliko hao wazungu walio waletea....

Mababu zetu walimudu ndoa na walikuwa na miongozo yao ya ndoa hasa "mfumo dume" huu ndio ulitia adabu wanawake.
Ndo muurudishe huo mfumo dume..mnashindwaje kuwacontrol wanawake zenu? Hao wanaowaambia wanasumbuliwa na wake zao kuna mahala wameharibu toka mwanzo thats why wameshindwa kucontrol na kuwa na power over them...mwanaume ni kichwa na hivyo inapaswa kuwa..
 
Ukiipitia sheria ya Ndoa kwa uzuri utaelewa jambo ambalo vijana wanalipiga vita kuhusu Ndoa, kumnyanyua mwanamke na kumkandamiza mwanaume hio ndio agenda ya Siri iliyopo kwenye Sheria ya Ndoa
tuwekee hapa hivyo vifungu vinavyomksndamiza mwanaume mpk kusababisha kukataa ndoa
 
Wanaosema/ kuandika KATAA NDOA wengi wao wanapelekewa moto.

Dume zima hutaki kuowa unataka nini kama si kuolewa?
Akili yako imedumaa! Unahisi kuoa/kuoelewa ndo kila kitu katika maisha!!?? Hiyo sex hata bila ndoa inapatikana tena kirahisi mno. Kwa taarifa yako hata mashoga wana ndoa zao kama nyinyi.
 
Wakitaka ndoa ziendelee kuwepo kampeni za feminism, haki sawa, fifty fifty, zisitishwe.

Turudi kwenye mfumo dume. Hakuna mwanaume ata acha kuoa.

Kuupinga mfumo dume kwamba ni ukiukwaji wa haki za binadamu na kusapoti u feminism, kwamba ni haki kwa wanawake kuna shusha ile status ya mwanaume kama Baba kichwa cha familia.
NASISITIZA
 
Kuomba ruhusa? [emoji23] Kumaanisha nini yaan niombe ruhusa mwanaume niombe ruhusa kwenye mji wangu? Ameoa au ameolewa?
Hizo ndoa zenu za 50/50 ukiaga na mkeo naye anaaga! Wanataka 50/50, kama wao wanaomba ruhusa basi nawe uombe ruhusa![emoji1787] Nawaangaliaga tu mnavyobabaishwa
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA

Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa ikiwa ni kuogopa kusalitiwa lakini pia kuna la uchoyo na kukwepa majukumu ila haya hawayasemi kwa uwazi

Hili jambo ni kama fasheni yenye mass hallucination ndani yake! Itapita lakini inaweza kuacha madhara kwa wengine hivyo hatuwezi kukaa kimya

Haya ndio makundi yao

1. Wasiojiamini..
Hawaamini kama wanaweza kutunza mke kutokana na story za vijiweni
Hawaajiamini kama wanaweza kumridhisha mwanamke kitandani
Hawajiamini kama wanaweza kutulia kwenye ndoa bila kuwa na vimada
Hawajiamini kwamba watapendwa na hawawezi kusalitiwa!


2. Wenye kasoro za kimaumbile
Wanaojihisi ni vibamia
Wanaojihisi hawawezi kumpa mwanamke ujauzito
Wasiotahiriwa
Wagumba kwa ithibati

3. Waathirika kisaikolojia
Kutokana na makuzi mabaya
Kutokana na malezi mabovu
Waliolelewa na walezi katili
Walioathirika na punyeto
Walioumizwa kimapenzi
Waliosalitiwa

4. Wasela na wakaa geto
Maisha hayajasimama
Wanaishi kwa kuungaunga
Wasiopenda majukumu

5. Wenye kasoro za kijinsia
Mashoga wa kujificha (mchicha mwiba)
Madomo zege
Wenye ulemavu uliojificha

6. Wapenda kitonga, dezo
Wanaolelewa na wake za watu
Wanaotunzwa na mashangazi
Wanaopenda vya bure toka kwa yeyote
Wapenda shortcut
Wavivu wasipenda kujishughulisha
Wapenda starehe

7. Bendera fuata upepo
Wanashadadia tu kwasababu fulani kasema
Wanafuata mkumbo kwakuwa fulani yumo
Wanadhani ndio usasa na ndio ujanja

Washauri wao wakuu
Walioshindwa kuhimili changamoto za ndoa
Walioachwa, waliopigwa kibuti
Walioharibu kwenye ndoa zao
Wapotoshaji

Nisiandike sana ngoja niweke kituo hapa
Mshana acha uongoo kizazi cha saivi siyo kma kile chenu ambacho ndoa ilikuwa jambo LA muhimu na msingi kama hoja zako hazijatofautisha kizazi na kizazi basi hazina mashiko vijana siyo waoga wala hawana matatizo ya kiakili wala kimaumbile ila Yale wanayoyaona na kuyashuudia
 
Nitaoa ila tukishindwana kabisa kabisa nitaacha halafu nitaoa tena na tena.

Nachojaribunl kulinda ni afya yangu ya akili tu.

Maana hata usingo unaweza kutetereka kiakili
Ukioa nfo utaelewa ndoa na usingo ni kipi kinaweza kukutia ukichaa[emoji3]
 
Mshana Jr umeandika kila kitu nakupongeza sana kwa kuliona hilo na kulisemea, hili halipaswi kunyamaziwa kuna vijana wengi hawajaingia kwenye ndoa kampeni kama hizi ni kuwaharibu kisaikolojia.
 
Wanaotamani kutoka ni waliokosea kuoa ama kupata wenza sahihi
Nipe mifano ya waliopatia kuoa. Sisi huku nje tunasikia milio ya maumivu tu, hatuoni hiyo furaha ya ndoa mnayohubiri. Wengi wenu mnashindwa kutoka kwenye hicho kifungo kwasababu ya aibu au kuwahurumia watoto! Ukikaa na watu 10 waliooa utakuta 8 kati yao hawana furaha ya ndoa na hao wawili waliobaki unakuta ndoa zao bado changa!
#KATAANDOA
 
Ndo muurudishe huo mfumo dume..mnashindwaje kuwacontrol wanawake zenu? Hao wanaowaambia wanasumbuliwa na wake zao kuna mahala wameharibu toka mwanzo thats why wameshindwa kucontrol na kuwa na power over them...mwanaume ni kichwa na hivyo inapaswa kuwa..
Naunga mkono hoja [emoji817]... umenena vyema.

Ili vijana waingie kwenye ndoa inabidi utumie mfumo wa watungulizi wetu mababu zetu "mfumo dume"

Vinginevyo kizazi cha sasa cha mabinti watasubiri sana swala la kuolewa.....
 
Usio kwa kukurupuka
Usioe kama hujajiandaa kuishi maisha ya ndoa
Usioe kama bado una maisha ya kwenda vijiwweni utaona ndoa ni chungu na utateseka sana
Halafu ndoa ni ya wawili ishu ya kumpa mshkaji simu aongee na mkeo sio ukomavu wa akili ni kutojiamini na ku expose maisha binafsi kwa wengine
Kwahiyo mtu kama hana amani ndani ya ndoa yake hatakiwi kutafuta msaada nje!?
Basi ndoa ni gereza!
#KATAANDOA
 
Mshana Jr umeandika kila kitu nakupongeza sana kwa kuliona hilo na kulisemea, hili halipaswi kunyamaziwa kuna vijana wengi hawajaingia kwenye ndoa kampeni kama hizi ni kuwaharibu kisaikolojia.
Hii mada najua kwa 100% watakao sapoti ni wanawake maana wanajua kwamba sheria za ndoa zina wa "favour" wao....[emoji1]

Tatizo si ndoa, Tatizo ni hizo sheria za ndoa zilizopo zinazo "favour" upande wenu zaidi na kukandamiza uhuru wa Mwanaume...

Mkitaka ndoa mkubali "mfumo dume"
 
Back
Top Bottom