Mary Chatanda: Freeman Mbowe amekosa shukrani kwa Rais Samia pamoja na kumtoa gerezani. Huenda ameathirika kisaikolojia

Jela kuna mambo mengi......

Mbowe hana shukran.....
 
Ile kesi ya ugaidi ,sama na mh.Rais SSH.....Mbowe angekuwa ndani hadi leo.....
 
Mkorogo unaharibu sana akili za wanawake wengi wa kitanzania.
Mkanye mkeo/binti yako miaka si mingi mazombi watakuwa wengi kuliko maelezo.
Wenye masikio na wasikie.
 
Kesi ya ugaidi....

Ingemmaliza mh.Mbowe.....

Amshukuru sana mh.Rais SSH...

Mbowe hana shukran...
 
Shukrani gani wakati huyo samia wenu anauza bandari? Kum*m*ke watu wengine sijui wanatumia Makal*o kufikir?
Wewe mwenyewe unayatumia hayo kufikiri na ndio maana umedanganyika na kuicheza ngoma ya wanasiasa....ishu ya bandari ni ya kitaalamu....
 
Unaelewa trillion 26 au unaongea tu?
Unayeelewa ni wewe....

Sasa pamoja na mapungufu na matobo yote yanayojulikana pale bandarini tunapata hizo trilioni 7 sasa sijui ugumu utatoka wapi kuzipata hizo 26 ?!! [emoji1787][emoji1787]

Tunakwenda shule kusomea upumbavu ?!! [emoji1787]
 
Unayeelewa ni wewe....

Sasa pamoja na mapungufu na matobo yote yanayojulikana pale bandarini tunapata hizo trilioni 7 sasa sijui ugumu utatoka wapi kuzipata hizo 26 ?!! [emoji1787][emoji1787]

Tunakwenda shule kusomea upumbavu ?!! [emoji1787]
Sio kwa vipengele defective kama vya IGA ile ukaona trilioni 26 ni kitu!
Vinginevyo wewe unaungana na vipaza wenzio walioko Dodoma wakijiita wabunge.
 
Sio kwa vipengele defective kama vya IGA ile ukaona trilioni 26 ni kitu!
Vinginevyo wewe unaungana na vipaza wenzio walioko Dodoma wakijiita wabunge.
Weka kipengele kimoja defective cha IGA....

Hivi hufuatilii waziri alichokisema.....bado vipengele ni vingi na hatua ni nyingi za makubaliano.....
 
Hapana "mwana"

Mimi ni kijana tu huku kwa Sondombwa nina goli langu la "kahawa na tangawizi"....tumesoma na tunalijenga taifa letu popote tulipo [emoji120]
Ndugu yangu jifunze kusoma. Mkataba ulikuwa humu umejadhiliwa kipengele hadi kipengele. Halafu leo unasema ni wa kitaalamu. Utaalam gani kwenye mkataba wa hovyo kama ule?
 
Ndugu yangu jifunze kusoma. Mkataba ulikuwa humu umejadhiliwa kipengele hadi kipengele. Halafu leo unasema ni wa kitaalamu. Utaalam gani kwenye mkataba wa hovyo kama ule?
Nimeufuatilia binafsi sijaona ukosefu wa utaalamu ndani yake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…