Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Acha kuota amka usingiziniHuyo Rais wa mpito ndio utajua wazanzibar ni ngedere tu, huyo mwisho wake 2025. Mbwa nyie mtalia sana Libibi anaondoka huyo.
Huyo Rais wa mpito ndio utajua wazanzibar ni ngedere tu, huyo mwisho wake 2025. Mbwa nyie mtalia sana Libibi anaondoka huyo
Ogopa tumbo likisikia njaaHao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Soma tenaNimesoma wote sijaona kifungu kinachoruhusu utaifishaji.
Mkataba wa kipumbavu kwa mujibu wa nani wakati mifumo yote halali umesema Serikali iendelee na mkataba?Mkataba wa kipumbavu ule Mh Raisi afute huo mkataba
Wakomae na sadaka makanisani huko nchi haiendeshwi kwa matamko ya kipumbavu ya maaskofu uchwara.Ogopa tumbo likisikia njaa
Riziki haramu zimekatwa
Mirija imefyekwa
Bandari ndio walikuwa wanaingiza bidhaa na kusingizia misamaha na pia wanakitakatishia fedha huko
Waache kelele tunajua wamekula vya haramu tangu uhuru
Wana mambo ya kijinga sanaWakomae na sadaka makanisani huko nchi haiendeshwi kwa matamko ya kipumbavu ya maaskofu uchwara.
Ila unaunga huo upuuzi wa mkataba mbovu., basi sawa simamia hoja zako za kijinga nasi tusimamie za kwetu.Mimi nanufaikaje na huu utawala?
Kwa hoja zenu hizi za kijinga ndo mana nawaona nyie ni wajinga na mna agenda zenu za siri mnazozificha kwenye mkataba wa Bandari!
Kwa taarifa yako mimi ni mkristo tena mkatoliki ila siungi mkono huu upuuzi wa maaskofu wangu
Mkataba una ubovu gani?Ila unaunga huo upuuzi wa mkataba mbovu., basi sawa simamia hoja zako za kijinga nasi tusimamie za kwetu.
Hakuna mtu anayekataa uwekezaji, watu wanapojitokeza na kukosoa mapungufu ya mkataba mnakimbilia kuwaita wachochezi.
Hakuna mwenye hati miliki ya hii Nchi, kila mzaliwa wa Nchi hii ni Mwenye Nchi na mkae mkijuwa yakuwa cheo ni DHAMANA tu.
Hilo ndo kosa Serikali inafanya. Mambo ya uongozi wa nchi na dini hayaendani. Na hili ni Duniani kote. Ndo mana mataifa ya wenzetu yanapiga hatua haraka sana.
Upuuzi wa namna hiyo huwezi kuukuta sehemu kama China na still nchi inafanyq vizuri ndo inaenda kuwa World super power economically very soon
We mpumbavu mmoja hata huna adabu kabisa. Mkataba wenyewe hujasoma, makelele tu. Sasa TEC wameshasema, na tuone kama mtaendelea na mkataba wenu wa kinyonyaji. Tutawanyoa kwa shokaWewe ni mjinga kama sio mpumbavu. Mimi sitetei mwarabu natetea uwekezaji unaoleta mapinduzi ya kiuchumi kwenye Bandari yetu na uchumi wetu
Utasemaje uwekezaji hauna tija wakati hujauona?
Article 14:1 inakataa kabisa mambo ya ubinsfishaji.Soma tena
Serikali haiwezi kujiingiza kwenye huo ujinga. Hawa ndo wanatakiwa waache huo ujinga...serikali ilijaribu kutumia karata ya udini ktk suala la bandari naona inaelekea kushindwa.
..pia Ssh aache kutumia jinsia yake kama kichaka cha kujificha asikosolewe.
Ndiyo nimeuona..kwani wewe unayesema uwekezaji una tija umeuona?
Ndoto za Ali Nacha hizoWe mpumbavu mmoja hata huna adabu kabisa. Mkataba wenyewe hujasoma, makelele tu. Sasa TEC wameshasema, na tuone kama mtaendelea na mkataba wenu wa kinyonyaji. Tutawanyoa kwa shoka
Wew hata uwe askofu mzee.., kama huoni dosari za waumin wako wapo watakaoziona. Tatizo letu watu weusi kwanza huwa ni Wanafiki sana, wabinafsi sana na wenye kuendekeza njaa.Mkataba una ubovu gani?
Nimesoma mkataba hakuna sehemu nimeuona huo ubovu.
Tena kama hujui mimi ni mkristo tena mkatoliki
Mkataba una shida gani kwani?Kama watu hawataki mnalazimisha nini jamani au huo mkataba unakitu gani special tulikikosa miaka 60 iliopita mpaka nyie mking'ang'anie? Baada mnalia wenzetu sijui wanatumia uchawi gani
Serikali haiwezi kujiingiza kwenye huo ujinga. Hawa ndo wanatakiwa waache huo ujinga.
Kwa mambo wanayoyafanya wanatakiwa wafikiri kweli matokeo na matendo yao na mambo wanayoweza kuyazalisha huko mbeleni.
Ni upuuzi mnatoa eti tamko kwa Serikali. Nyie kama nani? Ili iweje?