Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Ogopa tumbo likisikia njaa
Riziki haramu zimekatwa
Mirija imefyekwa
Bandari ndio walikuwa wanaingiza bidhaa na kusingizia misamaha na pia wanakitakatishia fedha huko
Waache kelele tunajua wamekula vya haramu tangu uhuru
 
Ogopa tumbo likisikia njaa
Riziki haramu zimekatwa
Mirija imefyekwa
Bandari ndio walikuwa wanaingiza bidhaa na kusingizia misamaha na pia wanakitakatishia fedha huko
Waache kelele tunajua wamekula vya haramu tangu uhuru
Wakomae na sadaka makanisani huko nchi haiendeshwi kwa matamko ya kipumbavu ya maaskofu uchwara.
 
Mimi nanufaikaje na huu utawala?

Kwa hoja zenu hizi za kijinga ndo mana nawaona nyie ni wajinga na mna agenda zenu za siri mnazozificha kwenye mkataba wa Bandari!

Kwa taarifa yako mimi ni mkristo tena mkatoliki ila siungi mkono huu upuuzi wa maaskofu wangu
Ila unaunga huo upuuzi wa mkataba mbovu., basi sawa simamia hoja zako za kijinga nasi tusimamie za kwetu.

Hakuna mtu anayekataa uwekezaji, watu wanapojitokeza na kukosoa mapungufu ya mkataba mnakimbilia kuwaita wachochezi.

Hakuna mwenye hati miliki ya hii Nchi, kila mzaliwa wa Nchi hii ni Mwenye Nchi na mkae mkijuwa yakuwa cheo ni DHAMANA tu.
 
Ila unaunga huo upuuzi wa mkataba mbovu., basi sawa simamia hoja zako za kijinga nasi tusimamie za kwetu.

Hakuna mtu anayekataa uwekezaji, watu wanapojitokeza na kukosoa mapungufu ya mkataba mnakimbilia kuwaita wachochezi.

Hakuna mwenye hati miliki ya hii Nchi, kila mzaliwa wa Nchi hii ni Mwenye Nchi na mkae mkijuwa yakuwa cheo ni DHAMANA tu.
Mkataba una ubovu gani?

Nimesoma mkataba hakuna sehemu nimeuona huo ubovu.

Tena kama hujui mimi ni mkristo tena mkatoliki
 
Hilo ndo kosa Serikali inafanya. Mambo ya uongozi wa nchi na dini hayaendani. Na hili ni Duniani kote. Ndo mana mataifa ya wenzetu yanapiga hatua haraka sana.

Upuuzi wa namna hiyo huwezi kuukuta sehemu kama China na still nchi inafanyq vizuri ndo inaenda kuwa World super power economically very soon

..serikali ilijaribu kutumia karata ya udini ktk suala la bandari naona inaelekea kushindwa.

..pia Ssh aache kutumia jinsia yake kama kichaka cha kujificha asikosolewe.
 
Wewe ni mjinga kama sio mpumbavu. Mimi sitetei mwarabu natetea uwekezaji unaoleta mapinduzi ya kiuchumi kwenye Bandari yetu na uchumi wetu
We mpumbavu mmoja hata huna adabu kabisa. Mkataba wenyewe hujasoma, makelele tu. Sasa TEC wameshasema, na tuone kama mtaendelea na mkataba wenu wa kinyonyaji. Tutawanyoa kwa shoka
 
Kama watu hawataki mnalazimisha nini jamani au huo mkataba unakitu gani special tulikikosa miaka 60 iliopita mpaka nyie mking'ang'anie? Baada mnalia wenzetu sijui wanatumia uchawi gani
 
..serikali ilijaribu kutumia karata ya udini ktk suala la bandari naona inaelekea kushindwa.

..pia Ssh aache kutumia jinsia yake kama kichaka cha kujificha asikosolewe.
Serikali haiwezi kujiingiza kwenye huo ujinga. Hawa ndo wanatakiwa waache huo ujinga.

Kwa mambo wanayoyafanya wanatakiwa wafikiri kweli matokeo na matendo yao na mambo wanayoweza kuyazalisha huko mbeleni.

Ni upuuzi mnatoa eti tamko kwa Serikali. Nyie kama nani? Ili iweje?
 
Mkataba una ubovu gani?

Nimesoma mkataba hakuna sehemu nimeuona huo ubovu.

Tena kama hujui mimi ni mkristo tena mkatoliki
Wew hata uwe askofu mzee.., kama huoni dosari za waumin wako wapo watakaoziona. Tatizo letu watu weusi kwanza huwa ni Wanafiki sana, wabinafsi sana na wenye kuendekeza njaa.

Nina uhakika wew si mwanasheria, usisome sheria kama unasoma gazeti, kuna vitu huwezi kuvielewa. Ila kwa kuwa kila mtu amekuwa msemaji endeleeni, maana bora hata Mangungo ambaye hakujuwa kusoma wala kuandika.
 
Kama watu hawataki mnalazimisha nini jamani au huo mkataba unakitu gani special tulikikosa miaka 60 iliopita mpaka nyie mking'ang'anie? Baada mnalia wenzetu sijui wanatumia uchawi gani
Mkataba una shida gani kwani?

It's a bad precedent kwa dini kuonesha zina nguvu kuliko Serikali. Nchi yetu ina dini nyingi sana. Je vipi dini zingine zikianza kutoa matamko yao?
 
Serikali haiwezi kujiingiza kwenye huo ujinga. Hawa ndo wanatakiwa waache huo ujinga.

Kwa mambo wanayoyafanya wanatakiwa wafikiri kweli matokeo na matendo yao na mambo wanayoweza kuyazalisha huko mbeleni.

Ni upuuzi mnatoa eti tamko kwa Serikali. Nyie kama nani? Ili iweje?

..wametoa tamko kama wananchi.

..serikali lazima itambue kuwa iko kwa ridhaa ya wananchi.

..hii habari ya kuuliza " nyie kama nani " inatokana na ulevi wa madaraka.

..nashauri Bakwata, Uamsho, KKKT, Hindu, Budha, nao watoe misimamo yao kuhusu bandari.
 
Back
Top Bottom