johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Duh.....uzi ufungwe!Wao serekali wameuliza kila mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.....uzi ufungwe!Wao serekali wameuliza kila mtu?
Bull💩💩💩Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Sio ww tu unaeukubali hata akina Lord denning Faizafoxy covax HIMARS choiceVariable Lucas mwashamba wanausapoti mkataba huo wenye mapungufu san kweny some articles. Lkn kwakua mmeamua kuitelekeza Nchi kwa matumbo yenu na familia zenu, sa acha tuone je mkate wenu wa kila utayeyuka wa kupush agenda ya DP world ama la!!Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Kwa sababu gani?Duh.....uzi ufungwe!
Hali kadhalika na mimi kwahio technically wapo sawa wamesema wananchi na sio kila mwananchi na last time i checked mimi ni MwananchiMimi siukubali hata kidogo.Ingekuwa amri yangu wote walioshiriki kuandaa,kuushabikia,kuingia makubaliano na kuupitisha ningewanyonga siku ya I Ijumaa mchana.
Sijui kama wewe ungepona.
Wewe ni mwanachi?,unahitaji sawa ya mbuuuuMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
DP World Wana akili sana, Hii nchi ina bandari Kavu zaidi ya 10 zinazomilikiwa na sekta BinafsiAnayeukubali ule mkataba simply hana akili. TEC itakuwa walitazama wanaojitambua tu, mazezeta wakawaacha.
Ogopa watu waliojificha ambao hawapayuki mitaani,Watu wanaosapoti ule mkataba vilevile ulivyo wanapatikana jamii forums tu na mitandao ambayo watu hawajulikani majina yao halisi. Tangu hili sakata lianze sijawahi kukutana na ndugu, jamaa au rafiki anaye sapoti huu mkataba. Kila sehemu ninapoenda watu wote wanakandia sana. Hata mleta mada vijiweni au maofisini hawezi kuutetea. Ni kichaa peke yake atakubaliana na vile vipengele vinginevyo kama mtu ana maslahi binafsi au kashalamba ela za DP WORLD 🌎.
TEC wanawazumzia wananchi wenye akili,wajinga wajinga kama wewe no.Hali kadhalika na mimi kwahio technically wapo sawa wamesema wananchi na sio kila mwananchi na last time i checked mimi ni Mwananchi
Hakuna usomi wowote. Fatilia performance zao. Mfano Kuna fr mmoja namjua nimesoma naye seminary ana Zero ya pcm alipata point 19. Lakini ni father mpaka leoTEC hawajawahi kukosea. Wale ni jopo la wasomi na wanajua nini wanasema.
Kama una ukubali huu mkataba wewe ni kichaa, kwasababu ni kichaa peke yake anayeweza kukubali masharti hayo.Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Hoja 8 muhimu za TECMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Ukiwa na ufaulu wa division III kushuka chini hawakuchukui... Unless ukasome kwanza diploma. Hiyo zero itakuwa ni yako.Hakuna usomi wowote. Fatilia performance zao. Mfano Kuna fr mmoja namjua nimesoma naye seminary ana Zero ya pcm alipata point 19. Lakini ni father mpaka leo
Tulia alisema Wana mbeya wanaukubari mwabukusi na watu waliokua wanajaa mahakamani kumsapoti ni wawapi?Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Jamaaa muongo weweHakuna usomi wowote. Fatilia performance zao. Mfano Kuna fr mmoja namjua nimesoma naye seminary ana Zero ya pcm alipata point 19. Lakini ni father mpaka leo