BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Waliniuliza mimi siukubali yaani hata mtoto wangu mchanga pia haukubali hii ni ajabuMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliniuliza mimi siukubali yaani hata mtoto wangu mchanga pia haukubali hii ni ajabuMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Wewe unaijua elimu ya yesu? Tuachane na yesu twende kwa akina yakobo yohana na petro elimu zao zipoje? Unajua wanawafuasi kiasi gani duniani? Basi tuwaache hao ni wakristo. Twende sasa kwa Mtume Mohamedi SW. Leta elimu yake hapaHakuna usomi wowote. Fatilia performance zao. Mfano Kuna fr mmoja namjua nimesoma naye seminary ana Zero ya pcm alipata point 19. Lakini ni father mpaka leo
Wewe huna akili; kwahiyo wewe siyo mtuMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Ni rahisi sana kusema malofa kama ulivosema lakini kuthibitisha ndio ngoma.Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Njoo dm nikupe namba ya jamaa na matokeo yake Wala sikudanganyi.Ukiwa na ufaulu wa division III kushuka chini hawakuchukui... Unless ukasome kwanza diploma. Hiyo zero itakuwa ni yako.
Mwache awachukulie poa tuOgopa watu waliojificha ambao hawapayuki mitaani,
Mimi nipo Kanisani tangu utoto wangu. Nina ufahamu utaratibu vizuri.Njoo dm nikupe namba ya jamaa na matokeo yake Wala sikudanganyi.
Hilo swali kitima aliulizwa na dw Swahili,alirukaruka tuMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Wanabwabwaja tu hao wabaguzi, mkataba umepitishwa na bunge na juzi mahakama kuu imeubariki. Hii ndiyo mihimili ya dola hiyo takataka ni kundi gani, km kazi ya kueneza injili inewashinda waanzishe chama cha siasa waite TEC.Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Wamesema wazi wamefanya utafiti wa kina na kujiridhisha.. Na hakuna waliposema WANANCHI WOTEMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Umeshapita sasa jinyonge weweMimi siukubali hata kidogo.Ingekuwa amri yangu wote walioshiriki kuandaa,kuushabikia,kuingia makubaliano na kuupitisha ningewanyonga siku ya I Ijumaa mchana.
Sijui kama wewe ungepona.
Bunge ndio wawakilishi wetu we kimaWao serekali wameuliza kila mtu?
Waanzishe chama cha siasa. Hawana lolote wale ni walevi tu na wazinziTEC hawajawahi kukosea. Wale ni jopo la wasomi na wanajua nini wanasema.
"....Tuna-uwezo wa kukusanya taarifa za Nchi yetu kwa mda mfupi sana na hii ni kwa sababu ya ukubwa wa Taasisi yetu.Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Kwa usomi wao ndo mana walikula hela za escrow kupitia rugemalilaTEC hawajawahi kukosea. Wale ni jopo la wasomi na wanajua nini wanasema.
Sasa we nyumbu akili utaitoa wapiAnayeukubali ule mkataba simply hana akili. TEC itakuwa walitazama wanaojitambua tu, mazezeta wakawaacha.
Mimi naukataaMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?