Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Wanabwabwaja tu hao wabaguzi, mkataba umepitishwa na bunge na juzi mahakama kuu imeubariki. Hii ndiyo mihimili ya dola hiyo takataka ni kundi gani, km kazi ya kueneza injili inewashinda waanzishe chama cha siasa waite TEC.
We jamaa emu Ivi unajua ata utafiti unafanyika vipi?
 
We we ni sehemu ndogo sana ya wanaoukubalia huu mkataba wa kihuni
Mimi nimefanya utafiti mitaani,vyuoni,walimu shule ya msingi na sekondari kote huko mkataba hawautaki.90% ya watanzania hawautaki
 
How. The church cannot be superior than God himself. Remember the president is chosen by God. The church is contradicting itself. Kuanzia Leo nalihama hili kanisa nakuwa muislamu mana ni upuuzi tu na kutaka kujitukuza
 
We ni nyumbu tu hakuna unaloelewa. We ndio unajua kuliko majaji wa mahakama kuu? Kenge
 
TEC hawajawahi kukosea. Wale ni jopo la wasomi na wanajua nini wanasema.
Bila shaka katika walioshiriki kwenye huu mkataba, kuna ambao wameshaenda "kuungama"! Wacha tuone atakapingana na "sauti ya Mungu" (Vox Populi, Vox Dei)🤔🤔
 
TEC wanawazumzia wananchi wenye akili,wajinga wajinga kama wewe no.
Umeelewa nilichomaanisha ? Namaanisha na Mimi Siukubali, ila sihitaji kuzungumziwa na mtu yoyote ili niikubali au niukatae and since na mimi ni mwananchi na tupo kama mimi zaidi ya mmoja technically wapo sawa kwamba kuna mimi tunaukataa
 
Hiyo serikali imemuuliza mama yako au baba yako?. Toa upuuzi pumbavu we.
 
Wewe hapo ulipo umebakiza tu kuvuliwa ubingwa. Fanya kazi, acheni uchawa wa kipumbavu
 
Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Kwani wakiita wananchi na wewe utaenda?⁰

Katika watu wanaostahili kunyongwa hadharani ni pamoja na wewe!
 
Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Kwani wapi TEC wamesema wananchi 'wote' hawaukubali huo mkataba? Wewe ni kati ya wachache mnaoukubali na ni haki yako pia
 
Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Achana nao walevi wale mkuu washajitia wanzuki zao wanabwabwaja tu

Wao kama nani waipangie serekali chakufanya
Shenzi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…