Aisee nakupa maua yakoAnayeukubali ule mkataba simply hana akili. TEC itakuwa walitazama wanaojitambua tu, mazezeta wakawaacha.
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nakupa maua yakoAnayeukubali ule mkataba simply hana akili. TEC itakuwa walitazama wanaojitambua tu, mazezeta wakawaacha.
Kuanzia Leo nalihama hili kanisa nakuwa muislamu[emoji23][emoji23][emoji23]How. The church cannot be superior than God himself. Remember the president is chosen by God. The church is contradicting itself. Kuanzia Leo nalihama hili kanisa nakuwa muislamu mana ni upuuzi tu na kutaka kujitukuza
Wewe tatizo lako ni uelewa mdogo pia mara nyingi unatumia tumbo lako kufikiri ni vipi unaanza kuuliza na kushindana na watumishi wa MunguMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Umemaliza mzee [emoji1]Wao serekali wameuliza kila mtu?
Shida ni mkataba ila siyo uwekezajiShida ni nini? Wakiacha hao waarau bandari si yetu tunabaki nayo?
Au kwa kwa nini wasipewe bandari za Zanzibar kama sisi bara hatutaki?
Kwa sababu wewe ni mjingaMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Na vp wale machawa akina Kitenge wanaosema mkataba uko vzr wanamwakilisha nani?Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Mimi siukubali hata kidogo.Ingekuwa amri yangu wote walioshiriki kuandaa,kuushabikia,kuingia makubaliano na kuupitisha ningewanyonga siku ya I Ijumaa mchana.
Sijui kama wewe ungepona.
Kumnyonga tena alaa 😂😂😂Mimi siukubali hata kidogo.Ingekuwa amri yangu wote walioshiriki kuandaa,kuushabikia,kuingia makubaliano na kuupitisha ningewanyonga siku ya I Ijumaa mchana.
Sijui kama wewe ungepona.
Eti? 🤣🤣🤭Mfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
🤣🤣🤣🤣🎷NASHANGAA HATA MIMI.
HIYO HATI MILIKI YA KUWASEMEA WANANCHI WAMEITOA WAPI.?
Leo mko wengi. Nadhani Nemo TEC limeandikwa Mara maelfuMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Weka na matokeo yake ya kidato cha nne!!Kule hakuna Dv IV ya form four.Form six sawa maana hutegemeana na mazingiraKama una ukubali huu mkataba wewe ni kichaa, kwasababu ni kichaa peke yake anayeweza kukubali masharti hayo.
Nilipoona ni wa milele. Kichaa pekee ndiyo anaweza kuukubaliMfano Mimi mwenyewe naukubali huu mkataba Sasa iweje TEC wafanye technical error ya nna hii?
Muogope sana mnafiki/Chawa akiwa amelishikilia jamboMimi nipo Kanisani tangu utoto wangu. Nina ufahamu utaratibu vizuri.
Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo
Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA
Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Ninaposema hawa watu wana ajenda yao binafsi nielewe. Uzuri hii nchi kwa sasa nina uzoefu wa kutosha sana hivyo nawajua watu wake kuzidi mfanoDah watu tumekwama, yaani mkuu unaamini kabisa kuna utawala wa Kisultani kupitia mkataba huu na unakula maokoto ya likes kama yote. Binafsi natamani marekebisho kwenye mkataba (iwapo kuna vipengele haviko sawa). Lakini hizi propaganda zitaligawa taifa letu kwa misingi ya udini. Hivi shida ni content za mkataba au mbia (DPW) wa mkataba?