Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

We we ni sehemu ndogo sana ya wanaoukubalia huu mkataba wa kihuni
Mimi nimefanya utafiti mitaani,vyuoni,walimu shule ya msingi na sekondari kote huko mkataba hawautaki.90% ya watanzania hawautaki
mimi mtaani sijawahi sikia mtu akiuongelea kwa mema huo mkataba hii inajumlisha hadi wale manyumba kumikumi ambao nishina la chama dola
 
Hoja 8 muhimu za TEC
14. Ibara zifuatazo za Mkataba huu zina matatizo yatakayosababisha nchi kutofikia uhuru wa kiuchumi (economic independence):

14.1. Ibara ya 2 (1): inayohusu lengo la Mkataba huu ambalo ni kuweka utaratibu unaoibana Tanzania kisheria katika kuendeleza, kuboresha na kuendesha bandari zote za bahari na maziwa, maeneo maalum ya uwekezaji, maeneo ya usafirishaji wa mizigo, na maeneo mengine ya kiuchumi.

14.2. Ibaraya 4: inayohusu wigo wa Mahusiano na Utekelezaji unaoitaka Serikali ya Tanzania kuwajibika kuijulisha Dubai kila fursa ya uwekezaji inapojitokeza.Hiiinakinzana na baadhi ya sheria za nchi yetu, kwa mfanosheria ya ushindani na ile ya manunuzi.

14.3. Ibaraya 5: ambapo DPWorldimepewa haki ya kuendeleza, kusimamia na kuendesha miradi pekee yake, wakati Tanzania inabaki na wajibu wa kumwezesha kufurahia haki hiyo.

14.4. Ibaraya 6:inayoitaka Tanzania kuwajibika kuipatia DP World vibali na vivutio vya kutekeleza miradi yake kama Serikali. Hii inapingana na baadhi ya sheria za kiutaratibu.

14.5. Ibaraya 7: inayoitaka Serikali kuwajibika kutoa mamlaka yanayotakiwa na mwekezaji bila ucheleweshaji.

14.6. Ibaraya 8: Haki ya kutumia ardhi ambapo Mkataba unasababisha uvunjifu wa sheria za ardhi na sheria zinazohusu masuala ya ardhi.

14.7. Ibaraya 10: Usiri wa Mkataba ambapo Mkataba unazuia mamlaka nyingine kama TAKUKURU /BUNGE kufuatilia mikataba.

14.8. Ibara za 23 na 24: zenye ugumu wa kujitoa kwenye Mkataba
Mbona wamechelewa hizo hoja zao ilikuwa wampe Spika ili zijadiliwe bungeni
 
"....Tuna-uwezo wa kukusanya taarifa za Nchi yetu kwa mda mfupi sana na hii ni kwa sababu ya ukubwa wa Taasisi yetu.

Tambua, Kanisa Katoliki limeenea hadi ngazi ya kaya na kwalo sisi si Taasisi yenye kutamka jambo kwa kubahatisha!"

Padre Kitima (PhD).

Chanzo: DW Swahili.
Nyinyi endelea kukusanya hizo taarifa lakini ndio hivo tena tayari imeenda
 
We we ni sehemu ndogo sana ya wanaoukubalia huu mkataba wa kihuni
Mimi nimefanya utafiti mitaani,vyuoni,walimu shule ya msingi na sekondari kote huko mkataba hawautaki.90% ya watanzania hawautaki
Wewe endelea tu na hao utafiti wako lakini ndio hivo Bandari ndio tayari hiyo imeenda
 
Dah watu tumekwama, yaani mkuu unaamini kabisa kuna utawala wa Kisultani kupitia mkataba huu na unakula maokoto ya likes kama yote. Binafsi natamani marekebisho kwenye mkataba (iwapo kuna vipengele haviko sawa). Lakini hizi propaganda zitaligawa taifa letu kwa misingi ya udini. Hivi shida ni content za mkataba au mbia (DPW) wa mkataba?
Shida ni hao wabia wa Mkataba Dp world ni warabu waislamu
 
Kweli kazi tunayo watanzania. Kwa mwenendo wa mjadala kwenye Uzi huu unavyoendelea ni dhahiri vimelea vya udini vipo kwa baadhi ya watanzania.

Nafikiri ni bora tungejadili hoja zilizotolewa na wanaopinga mkataba huu kuliko kukazania tu kwamba wanaopinga wanapinga kwa sababu ni wakristo (wakatoliki). Eti kwamba wanaopinga ni wakristo kwa sababu waliosaini mkataba ni waislamu. Hapa tunapotea njia ndugu zangu. Sisi watanzania ni wamoja siku zote tusianze kugawanyika kwa udini. Familia nyingi zimechanganyika kwenye hizi dini. Dini ni imani ya kiroho tusiiifungamanishe na masuala muhimu ya kitaifa.

Itapendeza iwapo kila mmoja atajadili mkataba badala ya kuangaliana dini zetu. Huu ni ugonjwa mbaya mno. Kwa mwendo huu itafika mahali tutachochea vita ya kidini.

Mimi naona serikali ichukue busara ya kuufutilia mbali mkataba huu hata kama inaona unamanufaa. Manufaa yake si kitu iwapo mkataba utakuja kutugawa kidini. Bora tutafute njia nyingine ya kuendeleza bandari zetu. Hii hapana haina mwisho mzuri.

Hapa ni busara, busara na busara tu. Tuache mambo mengine.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Kweli kazi tunayo watanzania. Kwa mwenendo wa mjadala kwenye Uzi huu unavyoendelea ni dhahiri vimelea vya udini vipo kwa baadhi ya watanzania.

Nafikiri ni bora tungejadili hoja zilizotolewa na wanaopinga mkataba huu kuliko kukazania tu kwamba wanaopinga wanapinga kwa sababu ni wakristo (wakatoliki). Eti kwamba wanaopinga ni wakristo kwa sababu waliosaini mkataba ni waislamu. Hapa tunapotea njia ndugu zangu. Sisi watanzania ni wamoja siku zote tusianze kugawanyika kwa udini. Familia nyingi zimechanganyika kwenye hizi dini. Dini ni imani ya kiroho tusiiifungamanishe na masuala muhimu ya kitaifa.

Itapendeza iwapo kila mmoja atajadili mkataba badala ya kuangaliana dini zetu. Huu ni ugonjwa mbaya mno. Kwa mwendo huu itafika mahali tutachochea vita ya kidini.

Mimi naona serikali ichukue busara ya kuufutilia mbali mkataba huu hata kama inaona unamanufaa. Manufaa yake si kitu iwapo mkataba utakuja kutugawa kidini. Bora tutafute njia nyingine ya kuendeleza bandari zetu. Hii hapana haina mwisho mzuri.

Hapa ni busara, busara na busara tu. Tuache mambo mengine.

Mungu ibariki Tanzania.
Hivi inajielewa kweli? Yaaani mkataba una manufaa alafu Serikali iutupilie mbali?
 
Kimsingi swala la Bandari ni Agemda ya Kanisa wanahubiri hayo makanisani hadi kwenye Jumuia,wanaambizana kwamba Wakioewa DP world waislaam watapewa kipaombele.

Unajua ukizoe kuka nyama ya mtu,always utakuwa unamuwazia hivyo kila mtu.

Kwa miaka Mingi sana kuna ubaguzi wa dini kwenye nchi yetu Wakristo hasa wakatoliki wanajifanya hii nchi ni mali yao.

Wanaamini kila kinachoridhiwa na Kanisa lazima kiridhiwe na Nchi,na kikikataliwa na kanisa lazima kikataliwe na nchi.

Kama ukivyosema ,wakati wa utawala wa Magufuli,pamoja na maovu mengi na mikataba mingi hawakuwahi kuihoji hawakuwahi kukemea ule unyama uliofanyika kwa sababu aliefanya ni mkatoliki mwenzao.

Kaingia Rais Samia,anasaini Mkataba wa DP world kama Magufuli alivyosaini Yapi Markez,lakini kila anaepinga ni Mkristo kama una rafiki mkristo mlieshibana atakwambia jinsi hii ageda inavyohubiriwa makanisani.
Kanisa gani linahubiri huu upuuzi?usiwaone Catholics kama hao vichaa wanaoshabikia ujinga kuamini kwa sababu raisi wa upande wao hata akifanya baya asishauriwe.

Ktk huo waraka kama umeusoma kuna waliposema hawaitaki DP World?wao wameshauri hata hao waislam wenzako walioenda shule wameshauri baadhi ya vipengele virekebishwe ili wapewe contract ila wewe unakuja na blah blah blahs zako hapa sijui wanahubiri wanafanyaje,Kanisani zinahubiriwa habari za kuacha dhambi na kutendeana mema siyo vinginevyo.
 
Kanisa gani linahubiri huu upuuzi?usiwaone Catholics kama hao vichaa wanaoshabikia ujinga kuamini kwa sababu raisi wa upande wao hata akifanya baya asishauriwe.

Ktk huo waraka kama umeusoma kuna waliposema hawaitaki DP World?wao wameshauri hata hao waislam wenzako walioenda shule wameshauri baadhi ya vipengele virekebishwe ili wapewe contract ila wewe unakuja na blah blah blahs zako hapa sijui wanahubiri wanafanyaje,Kanisani zinahubiriwa habari za kuacha dhambi na kutendeana mema siyo vinginevyo.
Kwa hiyo unakubali turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja maana wananchi wengi walitaka tubaki kwenye mfumo wa chama kimoja?
 
Kwa hiyo unakubali turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja maana wananchi wengi walitaka tubaki kwenye mfumo wa chama kimoja?
Sijajua umetumia logical gani kutoka ktk post uliyoni-quote hadi ukaja na hoja hii hapo kwenye bold.
 
Back
Top Bottom