Kwani anashindwa vipi kujiuzuru watawale wengine.Watu wa meko wanamhujumu mama
Wala.hakuna cha JPM .wewe ukachukue 10m bank cash unawazimu kwa nini usifanye bank transfer ni 10,000 tu u wape polisi shida
Kiufupi watu wa bank awameanza ungesee wao wa kuuza Ramani yani mambo ya ujambazi sasa yatarudi kama Enzi za Jk...Magu tutamkumbuka kwa mengi ikiwa huu upuuzi wa ujambazi hakikaa ulikoma kabisaa kesho sitashangaa kusikia gari limetekwa.. Mama inabdi awe mkali mnooo hasa tokana na tukio hili baadhi ya wakubwa wa polisi wapate joto ya jiwee nadhani watakaopewa madaraka upya wataelewa nini Magu alifanya mpka huu upuuzi uliisha kabisa.Unajiuliza majambazi yanapata wapi taarifa za mtu aliyetoka bank kuwa ana hela? Haya matukio yana uhusiano mkubwa na baadhi ya wahudumu wa bank wasiokuwa waamunifu
mkuu yani hapoo Ramani imeuzwaaa...Huyo MTU wa bank nae hawezi kuwa mzembe kiasi hicho atumie laini yake kwa mawasiliano Ila kwa wabongo kila kitu kinawezekana
Kupotosha unapotosha wengi tunaishi Tanzania hii hiiSijapotosha kama unabisha huyo mama alikuwa anafanya kazi chuo kikuu alipigwa risasi na tulimzika last year wanaishi karibu na Hospital maarufu Tegeta.Acha kukuza mambo tumeumizwa hata sio sasa nikipindi cha JPM
Dogo wewe bado mdogo mnooo kujua haya mambo. Ukikuwa utajuaUmejuaje kuwa alipangiwa kufa hivyo??
Utammisi wewe na ndugu zako usituhusishe wengineRIP anko tutakumiss sana tu haya mambo yalishaisha sasa yanaanza kurudi
Mambo yatakaa sawa tu tumpe muda zaidiSio ataonekana hatoshi mpk mda huu huku mtaani nazungumzia wananchi wa tabaka la chini ambao ndo 80% ya watanzania washamchoka popularity ya huyu mama ni humu tu JF na kwenye sosho media nyingne trust me ingawa ntapondwa sana na kuonekana ni pro magufuli but to be honest haswa kitendo cha LUKU kimemharibia credit nyingi sana mazaa...!!!
Haya yalidhibitiwa au habari zake hazikutakiwa kuwekwa hadharani sababu zilimchukiza mtawalaKidogo inaanza kutia wasiwasi.
Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.
Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina
Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Ndo ukweli hakuna aliwethubutu kureport haikumpendeza mtawala ilikua ni kusifu tu kuwa tumefuta ujambaziUnafikiri huo uliisha. Tatizo ilikuwa nani atathubutu kuripoti?
Mkuu habari inasemaa haijulikani kiasi alicho ibiwaa....wee unatuambia milioni 4Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheeza hapa chini!
View attachment 1792209
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi.
Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi cha fedha ambacho mpaka sasa hakijajulikana.
Baada ya kupigwa risasi alipatiwa huduma ya kwanza na kusaidiwa kufika kituo cha afya lakini baada ya kufika hospital akapoteza maisha.
Jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi na tutaendelea kukujuza kila kinachoendelea.
ujambazi upo tu hata enzi za mwendazake mh. Lissu alivamiwa mchana kweupe na majambazi.Pumbavu zao kabisa [emoji28][emoji28][emoji28] na ujambazi uendelee
Tuliza mshono boss,,kwenye jukwaa la mapenzi nina haki ya kuchangia kutokana na mada inayojadiliwa na hata kwenye siasa vile vile. This is too low kutoka kwako ,so kuleta hapa comment yangu kutoka kwenye jukwaa la mahusiano inakusaidia nini wewe? Magufuli is dead and you should accept that .Fani yako ni hii hapa kwenye siasa hapakufai mkuu!
Mkubwa unataka kusemaje kuhusu sinzaMAJAMBAZI, WEZI, VIBAKA tunaishi nao mitaaani hivyo basi ili kufanikisha kudhibiti ujambazi na wizi ktk mitaa yetu ni lazima sisi wananchi kwanza tuwe na utamaduni wa kuwafichua kwa kutoa taarifa za siri Polisi.
tuache tabia ya kuwaficha wahalifu ktk maeneo yetu, lkn pia tusiwapangishe nyumba watu tusio wafahamu vizuri.
majambazi na wezi tunawafuga sisi wenyewe kwenye mitaa yetu
tunawaomba polisi wasiwe na simile kwa kichwa cha jambazi yeyote.
Majambazi, wauza unga ni watu hatari sana ktk jamii,
kama unaishi ktk mtaa ambao una watu wa aina hizo hapo kama sinza basi ni hatari sana.
kwani unafikiri wezi wana akili sasa.. anaweza kukutoa roho hata kwa elfu 50.. wamelaaniwa wale watuSasa Atm si alitoa chini ya milion?