tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Dada mzuti unakuwasha sana,njoo nkupe kilambioTulia wewe! Hawa majambazi yanarudisha hela mtaani ili bavicha muwe mnaziokota na kikubwa zaidi wanawakomoa sukuma gang, mataga na marehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada mzuti unakuwasha sana,njoo nkupe kilambioTulia wewe! Hawa majambazi yanarudisha hela mtaani ili bavicha muwe mnaziokota na kikubwa zaidi wanawakomoa sukuma gang, mataga na marehemu
Acha kuwademkia wanaume wewe utapigwaDada mzuti unakuwasha sana,njoo nkupe kilambio
Dada tulia njoo nkupe kilambio upate faraja ya moyoBasi mkuu usiwe na hasira sana ukashindwa kumhudumia mumeo leo!
.
Tuendelee kudemka tukiimba Samia mi 10 tena na ccm mbele kwa mbele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwacheni mama afanye kazi.
Polisi wakiamua kufanya kazi,hawa wauaji wanakamatwa.Wahusika wadakwa kama kuku wa kisasa!
Damu ya yule kaka haitawaacha salama na vizazi vyenyu.
nchi sasa imefikia huko? hatuna tena uhuru wa kutoa pesa sehem tunayotaka? hiyo nchi au upumbavu, yaani mtu utoke bunju ukatoe pesa posta? tutaskia mengi sana kipindi hiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wasilalamike awamu hii ni kubembelezana. Polisi wabembelezeni hao majambazi. Msiwakaripie tumieni demokrasia. Awamu hii ni yamaelewano na mshikamano.
Tuko pamoja mama utatuvusha. Kesi ambazo hazina ushahidi achia wote hata kama ni majambazi yaliiba, yakaua, achia wote waende mtaani.
Harafu nanyi majambazi muwe mnabembeleza mnapo pora. Tumesema awamu hii ni kubembelezana.
Hongera Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan. Tunaimani na wewe. Tunakupenda. Tuvushe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahEnzi za JPM kuna mtumishi wa umma alikuwa anapita hapa kwangu saa 12 kamili Sharp na baiskeli yake ya Avon akienda kazini, siku hizi anapita saa mbili kwenda na saa saba mchana tunakutana machimboni, hahahaha! Natamani kurudi kwenye ajira mimi!
Kuwakumbatia kina nani?Mama akija kushituka, itakuwa teyari too late wacha aendelee kuwakumbatia.
Duuuh inasikitisha na kuogopesha.Hilo tukio usikie tu
Siku moja Masaki kule,kijana mdogo tu wa kihindi aliuliwa mbele ya baba yake. Wote tunaangalia.
Walikua na Bureau de Change pale Sea Cliff Village.
Yule kijana alikua sio mchovu pia anapigana kick boxing na kila kitu,
pale alikua likizo tu maskini anamsindikiza babaake majambazi wakamuuwa mbele yake wakapora fuko la pesa wakaondoka nalo.
Ni kwamba dogo alitoka na gun awathibiti majambazi akatulizwa.
Yule baba yake alilia akapiga magoti kwenye damu ile kama anaswali, Akaondoka hakurudi tena pale Sea Cliff Village miaka hiyo.
Sasa balaa kuna kakaake na huyo dogo alieuwawa Mafia vilevile.
Alianza nao hao nyumba kwa nyumba, ni moto tu,sijui aliua wangapi ninamkumbuka JB aliuliwa Sinza pale kijiweni, ila hapo walikua washaondoka wengi tu.
Yule muhindi alilipiza kisasi mbaya kabisa,
Nilikua mteja wao na nnafanya kazi mitaa hiyo,
So alikua ananionyesha picha kabisa,
"Jana tumelala mbele na huyu, kesho huyu tunammaliza"
Waliuliwa majambazi wote wa5 jumla
Mtupe na ripot za waliouawa mkiru na walipotezwa kimyakimya ili tufananishe na wanaouawa na majambazi wapi wengiKidogo inaanza kutia wasiwasi.
Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.
Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina
Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iko matakoni kwako huifeel?
Kumbukumbu haziondoi majambazi unless unachosema ni majambazi yamekuja ili tuwe na mada za kumkumbuka.Ww kubali tu kwamba tutamkumbuka