Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Wahusika watadakwa kama kuku wa kisasa muda si mrefu!

Damu ya yule kaka haitawaacha salama na vizazi vyenyu.
 
Haya matukia yanarudi kwa kasi sana..sijui tumekwama wapi
 
nchi sasa imefikia huko? hatuna tena uhuru wa kutoa pesa sehem tunayotaka? hiyo nchi au upumbavu, yaani mtu utoke bunju ukatoe pesa posta? tutaskia mengi sana kipindi hiki


Eti uende Posta kutoa 4M???
 
Watu wasilalamike awamu hii ni kubembelezana. Polisi wabembelezeni hao majambazi. Msiwakaripie tumieni demokrasia. Awamu hii ni yamaelewano na mshikamano.
Tuko pamoja mama utatuvusha. Kesi ambazo hazina ushahidi achia wote hata kama ni majambazi yaliiba, yakaua, achia wote waende mtaani.
Harafu nanyi majambazi muwe mnabembeleza mnapo pora. Tumesema awamu hii ni kubembelezana.
Hongera Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan. Tunaimani na wewe. Tunakupenda. Tuvushe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi za JPM kuna mtumishi wa umma alikuwa anapita hapa kwangu saa 12 kamili Sharp na baiskeli yake ya Avon akienda kazini, siku hizi anapita saa mbili kwenda na saa saba mchana tunakutana machimboni, hahahaha! Natamani kurudi kwenye ajira mimi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Hilo tukio usikie tu
Siku moja Masaki kule,kijana mdogo tu wa kihindi aliuliwa mbele ya baba yake. Wote tunaangalia.
Walikua na Bureau de Change pale Sea Cliff Village.
Yule kijana alikua sio mchovu pia anapigana kick boxing na kila kitu,
pale alikua likizo tu maskini anamsindikiza babaake majambazi wakamuuwa mbele yake wakapora fuko la pesa wakaondoka nalo.
Ni kwamba dogo alitoka na gun awathibiti majambazi akatulizwa.
Yule baba yake alilia akapiga magoti kwenye damu ile kama anaswali, Akaondoka hakurudi tena pale Sea Cliff Village miaka hiyo.
Sasa balaa kuna kakaake na huyo dogo alieuwawa Mafia vilevile.
Alianza nao hao nyumba kwa nyumba, ni moto tu,sijui aliua wangapi ninamkumbuka JB aliuliwa Sinza pale kijiweni, ila hapo walikua washaondoka wengi tu.
Yule muhindi alilipiza kisasi mbaya kabisa,
Nilikua mteja wao na nnafanya kazi mitaa hiyo,
So alikua ananionyesha picha kabisa,
"Jana tumelala mbele na huyu, kesho huyu tunammaliza"
Waliuliwa majambazi wote wa5 jumla
Duuuh inasikitisha na kuogopesha.
 
FB_IMG_1621675293078.jpg
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Mtupe na ripot za waliouawa mkiru na walipotezwa kimyakimya ili tufananishe na wanaouawa na majambazi wapi wengi
 
Familia changa kabisa hii! Pole nyingi kwa wafiwa. Wahusika watiwe nguvuni haraka ili wakalipie makosa yao.
 
🤣 🤣 Halafu utasikia mijitu inasema "aah mama kaanza vizuri Sana", endeleeni kupiga makofi na vigelegele hamna rangi mtaacha ona.
 
Back
Top Bottom