Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

We babu hata kama unamchukia Mwendazake, kuna vitu haviihitaji ubishi, eti walikuwa hawaripoti. Waulize watu wa Kigoma hasa Kibondo watakwambia ukweli, Sasa walikuwa wanaweza kuishi kwa amani kabla ya huyu Mzee kupita siku Bila duka, nyumba au gari kuvamiwa au kutekwa na majambazi ilikuwa ni Jambo la ajabu. Lakini within these four yrs mambo yalitulia kabisa.
Kwahiyo mwendazake ndo alikuwa polisi? Kwani IGP kabadilishwa?
 
Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheeza hapa chini!
View attachment 1792209
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi...
Hiv haya mambo yanauhusiano na ma bank trller nini?Maana jambazi hawezi ku risk kama hajajua una kiasi gani?
 
Wewe na mapraivet wenzako wa JW ndo wezi.
Matukio mengi tu askari wachache msio na maadili mnaliaibisha jeshi letu la wananchi. Kesi kibao zimesolviwa kimya kimya kati ya viongozi wa polisi na Jw, pengine hulijui hilo.
Muache ujambazi.
Hajui kitu huyo ndugu halafu Rufiji dam si private,ni serviceman tu.
 
Dawa ya jambazi ni kuuwawa tu Sasa wakiuwawa huwa mnakuja kuanzisha uzi wa kulalamika kwanini wanauwawa wasipelekwe mahakamani yani sisi binadamu tuna shida sana
Bora waendelee kututeka tu ili tutie heshima,unajua sisi raia wema hatuna shukrani.
 
Mchezo huu unafanywa na wafanyakazi wa benki wenyewe, ni vigumu sana mtu wa nje kujuwa mteja katoa kiasi gani. Hapa wa kumkamata ni mtu wa mwisho hapo benki aliyemsaidia huyu jamaa kutoa hela kwenye account, akamatwe na anyongwe ili iwe fundishio kwa wengine.
Kwani cashier wanaruhusiwa kutumia simu??
 
Yalikuwepo wala sio kuwa kwa sababu ya JPM nikwa sababu walikuwa hawatangazi.Mimi nilimpoteza my sister mwaka.juzi alikuwa anachukua ametoka kuchukua fedha pale.kibo complex.Wakati kwa JPM walikiwa hawaruhusiwi kutangaza ila matukio yalikiwepo sana tu
Ni hilo moja tu, acha kujazia.
 
Anashindwaje
Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel.

Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19.

Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
Mama anashindwaje kumuagiza IGP kuwaondoa mara moja marpc wanaoshindwa kudhibiti uharifu wakati wamepatiwa kila kitu
 
So sad, mwanaume handsome, mtanashati, amejaliwa kila kitu km mwanaume. RIP Jimson [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Dawa yao ni kuwapa wale vyuma tu....Halafu katika zama hizi bado watu wanashindwa kutumia technology kufanya manunuzi? Haina haja ya kwenda bank kuchukua mzigo mkubwa ,wa nini? Kama unaenda kununua kiwanja,gari or malipo yeyote si unafanya bank transfer? Kama vimilioni viwili au vitatu si unatransfer tu kwenda kwenye mobile? Usiangalie gharama jali uhai.
Acha hizo unafikiri kila mmoja ana shida zinazofanana ! Ni uzembe wa polisi tu ndio haya yanaanza kutokea.
 
Back
Top Bottom