Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Yalikuwepo ,ni vile walikiwa hawaruhusiwi kusema .I lost my sister hapo kibo complex alichukua fedha na kupigwa risasi na alifariki.Nina mwingine namjua alikoswa koswa risasi ikapita juu ya Bega.
Rest in peace kwa beloved sister. Lakin Mkuu tukiacha hisia binafsi haya mambo hayakuwa kwa kiasi hicho na vile unasema hayakuwa yanatangazwa ni kitu kisuchokuwa na uhalisia hata kidogo sote tunaishi mitaani, mambo haya yalipungua kwa kiasi kikubwa Sir100 mwenyewe alisema kwa hotuba yake pale bungeni kwamba “wizi na uhalifu umeanza kwa kasi” kwaiyo ni wazi kabisa mtangulizi wake alikuwa amedhibiti vyema.

Mambo mengine yanatia hasira tuache ushabiki wa mitandao let us live the real world, hizo ma statistics na bias against mtu alieonekana kufanya kwa ajili ya kundi la wengi hakika ni laana itafuatia ni swala la muda tu ila wacha kila mmoja aamin anachoamin yeye ila kwa swala la uongozi hatutaki undezi ndezi na upuuzi uendelee na sie tufurahi na kuendeleza siasa zilizo na manufaa kwa wachache na wengi wakiumia.
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Mkuu polisi wetu wapo barabaran wanatafuta hela ya kupigia dawa viatu wengine wapo huko kweny kuzuia maandamano ya BAWACHA
 
NYIE SI MLIKUA MNALALAMIKA AWAMU ILE KULIKUA NA MAITI NDANI YA VIROBA MARA SIJUI MAITI ZILIOKOTWA UFUKWENI, LEO MMESAHAU NA MNATAKA WATU WALE VYUMA

SInce Day one sijawahi kussupport majambazi hata siku moja ,jambazi dawa yake ni kula chuma tu ,hao wa kwenye viroba sio majambazi baadhi ni wanaharakati,wakosoaji wa serikali,nyoka waliohasi kambi etc
 
Dawa yao ni kuwapa wale vyuma tu....Halafu katika zama hizi bado watu wanashindwa kutumia technology kufanya manunuzi? Haina haja ya kwenda bank kuchukua mzigo mkubwa ,wa nini? Kama unaenda kununua kiwanja,gari or malipo yeyote si unafanya bank transfer? Kama vimilioni viwili au vitatu si unatransfer tu kwenda kwenye mobile? Usiangalie gharama jali uhai.
Ila kuna ndezi wabishi usipime. Leo hii kuna mtu yuko Kagera kaniagizia mzigo. Namwabia nipe akaunti niweke mzigo anadai akaunti yake ilipata matatizo kwahiyo haiwezekani kutuma humo. Huu siyo undezi?
 
Watu si mlitaka Uhuru wa kufanya kazi bila bugdha.?.
Sasa hivi na majambazi nao wamepewa Uhuru wa kufanya kazi zao.
Nadhani soon mzunguko wa Ela utaongezeka mtaani kwa Uhuru tuliopewa.
Yaani ni sawa na kusema una njaa sana, unaletewa msosi wenye polipili ya kutosha. Chagua moja kubaki na njaa au kuumizwa na pilipili.

Kwa bahati mbaya haitakiwi kubaki na njaa ni lazima ule. Acha tu tupigwe risasi kwa vile chaguo letu ni uhuru kwa kila kitu
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Sio ataonekana hatoshi mpk mda huu huku mtaani nazungumzia wananchi wa tabaka la chini ambao ndo 80% ya watanzania washamchoka popularity ya huyu mama ni humu tu JF na kwenye sosho media nyingne trust me ingawa ntapondwa sana na kuonekana ni pro magufuli but to be honest haswa kitendo cha LUKU kimemharibia credit nyingi sana mazaa...!!!
 
Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel.

Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19.

Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
Sahihi kabisa
 
RIP anko tutakumiss sana tu haya mambo yalishaisha sasa yanaanza kurudi
Mmmh!!! Mbona matukio ya kuteka na kupigwa risasi akina lissu yalikua kipindi cha anko?

Au haya hamkuyaona?


Acheni siasa uchwara na hiyo team mliyoiandaa kumvuruga mama nawaambia hamtaweza
 
Yalikuwepo wala sio kuwa kwa sababu ya JPM nikwa sababu walikuwa hawatangazi.Mimi nilimpoteza my sister mwaka.juzi alikuwa anachukua ametoka kuchukua fedha pale.kibo complex.Wakati kwa JPM walikiwa hawaruhusiwi kutangaza ila matukio yalikiwepo sana tu
kwahiyo hata jf mlishindwa kuriport!!!
unafiki na mtoto wa kike havipendezi.
 
Hii hali jamani mamlaka iangalie, mdogo wangu mmoja home boy wamemvamia usiku wa Leo na kumuumiza anapoelekea hospital ya rufaa...si sawa hali hii kiukweli tulishaisahau nini shida mpaka irudi kwa speed kubwa hivi??
Pole sana ndugu!yaani vinahuzunisha sana
 
Wewe na mapraivet wenzako wa JW ndo wezi.
Matukio mengi tu askari wachache msio na maadili mnaliaibisha jeshi letu la wananchi. Kesi kibao zimesolviwa kimya kimya kati ya viongozi wa polisi na Jw, pengine hulijui hilo.
Muache ujambazi.
Hawa JWTZ ndio walio tuletea huku mtaani wale vijana wao wa JKT walio maliza mkataba ndio hawa wanao tusumbua na kutuua kabisa huku mtaani
 
Kwani wangapi wanatoa pesa kibao au wanapeleka, kwanini yeye? Kuna cha kujifunza hapa. Watu matangazo kibao, kwanini msiwe wasiri wa mambo yenu. Nani kauza gemu ni tella, washkaj au wafanya kazi wenzie..
 
Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheeza hapa chini!
View attachment 1792209
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi.

Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi cha fedha ambacho mpaka sasa hakijajulikana.

Baada ya kupigwa risasi alipatiwa huduma ya kwanza na kusaidiwa kufika kituo cha afya lakini baada ya kufika hospital akapoteza maisha.

Jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi na tutaendelea kukujuza kila kinachoendelea.
Tulia wewe! Hawa majambazi wanawakomoa sukuma gang, mataga na marehemu jiwe
 
tulia dawa ikuingie. magu hapa hausiki tushamsahau pambana na maisha bila magu sasa. agizeni chanjo mnayoitaka, unamtaja mtu aliyefariki miezi 2, hivi unaakili kweli wewe. wekeni mnayoona yanafaa na toeni mnayoona hayafai
Tena anafungua nchi, na wanataka hela zimwagike mtaani ndio hizo sasa! Tena atulie
 
Back
Top Bottom