Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Porojo za nini? Sisi tunataka hoja zijibiwe!

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Waziri wa "Tamisemi" kuvaa Gwanda la "CCM" na kutoa kauli ambazo zilistahili kutoka kwa "Waziri wa mambo ya Ndani."

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu." - Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa

Ni wazi maji yamewafika shingomi wana familia ya Mama Abdul.
Sasa tunaanza kuona rasmi akitekeleza kile alichoagizwa na Mama mkwe.

Mchengerwa, Acha kutumika vibaya maana 2025 inaweza ikakuacha kijiweni endapo hutakaa na Mama Abdul na kumwambia yafuatayo.

Mama yangu mpendwa ..
Ukweli ni kwamba sisi wachache ndio tunataka kuvuruga Amani ya nchi hii.

Madudu niliyoyakuta na yanayoendelea hapa TAMISEMI ni Ubadhilifu mkubwa Sana.

Pia hii DP-WORLD Mama nakushauri uachane nayo maana ndiyo imekuja kuwasha moto wa Hasira kutoka kwa wananchi.

Hivyo nilushauri Mama ama tuachane nao au tuurudie mkataba ma kuufanyia mabadiliko kabla ya kuusaini.
Mara yangu mpendwa usiwalaumu watu wa mitandaoni maana nimegundua ya kwamba wao ndio wakweli kuliko hawa wanaokuletea taarifa hapa ofisini.jaribu kuyatumia maoni yao mengi maana wao wako site mtaani.Na kweli huko hali ni mbaya mama.

Pia mama nakushauri uache kumtumia Abdul maana familia inazifi kuchafuka kupitia matendo yake kubainika hadharani na jamii.

Kisha mchengerwa unaweza kumalizia kwa kumshukuru kusema...Mama Naendelea kukushukuru kwa kinikubali na kuniruhusu kuwa mmojawapo wa familia hii ya mama Abdul.

Badala ya kuanza matisho kwa watanzania!
Ambayo hakika hayatakuacha salama.
Mambo ya usalama wa nchi waachie mawaziri wa wizara husika toka mambo ya ndani pamoja na wizara ya Ulinzi.

Wewe kaa hapo TAMISEMI maana ndio chimbuko la ufisadi.

View attachment 2747403
Sema Baba sema wakusikie,Mama mkwe anachezewa vibaya sema.
 
Waliozaliwa miaka ya 70s katikatika bado wanajiita vijana. Hao wanaweza kusema waliushuhudia utawala wa mwalimu Nyerere maana mpaka anaacha walikuwa na miaka zaidi ya 10 ambao kwa mfano kama alizaliwa 1975 mpaka mwalimu anaacha madaraka walikuwa na miaka 10!
"Sisi vijana tulioshuhudia utawala wa baba wa taifa"!

Hivi kuna yoyote aliyeshuhudia utawala wa Nyerere na bado akabaki kuwa kijana hadi leo?
 
CHADEMA Kwa nini mna panic si mlisema mumejitoa kwenye Maridhiano ambayo yangewasaidia kupata Katiba Mpya.

Sasa Rais amepiga chini hadi Jamii ipate uelewa wa Katiba Mpya na muafaka wa pamoja.

Saizi mumeishia kutukana Rais mitandaoni lakini very unfortunate haita wasaidia kitu,imeshawakata tungeni mbinu nyingine.


View: https://www.instagram.com/p/CxGrbjOqXYz/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Katiba ya Wananchi sio ya CHADEMA msituletee mambo ya Simba na Yanga hata kwenye mambo muhimu kama haya
 
Waziri wa "Tamisemi" kuvaa Gwanda la "CCM" na kutoa kauli ambazo zilistahili kutoka kwa "Waziri wa mambo ya Ndani."

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu." - Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa

Ni wazi maji yamewafika shingomi wana familia ya Mama Abdul.
Sasa tunaanza kuona rasmi akitekeleza kile alichoagizwa na Mama mkwe.

Mchengerwa, Acha kutumika vibaya maana 2025 inaweza ikakuacha kijiweni endapo hutakaa na Mama Abdul na kumwambia yafuatayo.

Mama yangu mpendwa ..
Ukweli ni kwamba sisi wachache ndio tunataka kuvuruga Amani ya nchi hii.

Madudu niliyoyakuta na yanayoendelea hapa TAMISEMI ni Ubadhilifu mkubwa Sana.

Pia hii DP-WORLD Mama nakushauri uachane nayo maana ndiyo imekuja kuwasha moto wa Hasira kutoka kwa wananchi.

Hivyo nilushauri Mama ama tuachane nao au tuurudie mkataba ma kuufanyia mabadiliko kabla ya kuusaini.
Mara yangu mpendwa usiwalaumu watu wa mitandaoni maana nimegundua ya kwamba wao ndio wakweli kuliko hawa wanaokuletea taarifa hapa ofisini.jaribu kuyatumia maoni yao mengi maana wao wako site mtaani.Na kweli huko hali ni mbaya mama.

Pia mama nakushauri uache kumtumia Abdul maana familia inazifi kuchafuka kupitia matendo yake kubainika hadharani na jamii.

Kisha mchengerwa unaweza kumalizia kwa kumshukuru kusema...Mama Naendelea kukushukuru kwa kinikubali na kuniruhusu kuwa mmojawapo wa familia hii ya mama Abdul.

Badala ya kuanza matisho kwa watanzania!
Ambayo hakika hayatakuacha salama.
Mambo ya usalama wa nchi waachie mawaziri wa wizara husika toka mambo ya ndani pamoja na wizara ya Ulinzi.

Wewe kaa hapo TAMISEMI maana ndio chimbuko la ufisadi.

View attachment 2747403
Kuoa mtoto wa rais wa mchongo anajiona kubwa ni zaidi ya makamu wa rais na waziri mkuu. Huyu na Mwigulu ndio washauri wa wakuu wa bi tozo
 
CHADEMA Kwa nini mna panic si mlisema mumejitoa kwenye Maridhiano ambayo yangewasaidia kupata Katiba Mpya.

Sasa Rais amepiga chini hadi Jamii ipate uelewa wa Katiba Mpya na muafaka wa pamoja.

Saizi mumeishia kutukana Rais mitandaoni lakini very unfortunate haita wasaidia kitu,imeshawakata tungeni mbinu nyingine.


View: https://www.instagram.com/p/CxGrbjOqXYz/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Wewe una akili ndogo sana, kwa ujinga wako unaona katiba ingeinufaisha Chadema! Haujui kuwa siasa ina kiwango kidogo sana kwenye katiba huku asilimia kubwa inahusu maisha yangu na yako ys kila siku, wewe ni kati ya wale wanaoona fahari kuitwa watumwa.
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
sasa huyu ndiye anayeharibu amani sasa. anamtishia nani? yeye ndiye mmiliki wa nchi hii, nchi hii ni mali ya familia yake? anaposema hatawaacha watu salama na wao wakisema hawatawaacha maccm salama patatosha? huo ndio utawala wa sheria, kwamba hautawaacha watu salama yaani utawadhuru badala ya kuwapeleka kwenye vyombo vya kisheria? anafikiri kwa kauli hii watu wanamuogopa? kwani ni mara ya kwanza watu kutoachwa salama? watu walipotea na kuumizwa kipindi cha magu na bado waliendelea kusema ukweli anafikiri watu watamwogopa yeye?
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Huwa ninamheshimu sana, sikujua nate amekuwa na akili za mkwewe
 
Yuko kwake,alitimiza wajibu wake na huyu atatimiza huo wajibu kisha kijiti kwa mwingine.

Uongozi ni dhamani huwezi Kaa kimya watu waharibu Nchi kisa eti kesho hutokuwa Kiongozi tena, upuuzi
Kwahiyo kumbe ni mkwala tu wa kawaida ili asionekane kakaa kimya.
 
Watu wakirudisha kadi za kijani CCM wanafikiri serikali inaelekea kupinduliwa. Japo huyu sijamwelewa ama mada ya ugaidi?
 
Huenda katumwa na mama mkwe, sisi hatujui bhana....
 
Tatizo akiongea inaonekana kana kwamba anasukumwa na maslahi yake binafsi ya kifamilia badala ya yale ya wengi Yaani Umma wa watanzania.

Ako na conflict of interest.

Uhalali wake wa kunena unakuwa impaired sababu hayuko huru yuko biased .?!
Hilo swali ndio jibu lenyewe$
 
Back
Top Bottom