Moja ya nukuu za JK zitakazoishi hata baada yake na zitakazomjengea heshima daima.Taarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba , Yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali , kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani , ameachiwa huru
Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli , lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForum , mamluki hao wameufyata na kumwachia huru .
Natoa Wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5 .
Mungu ibariki Tanzania .
View attachment 2517817
Taarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba , Yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali , kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani , ameachiwa huru
Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli , lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForum , mamluki hao wameufyata na kumwachia huru .
Natoa Wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5 .
Mungu ibariki Tanzania .
View attachment 2517817
Kila mtu na mtazamo wake unaweza kuta pana wengine wanakuona wewe heri ya Mdude.Siipendi sisiemu na watu wake, lakini huyu dogo ni faken wa akili. Huwa namuona anaropoka na mihemko ya kiwaki.
kwa kosa gani ?Huyu mtu chadema imteme vinginevyo watamzika kwa aibu
Sawa ndugu yake Mdude. Muambie kaka yako aache kujichoresha.Kila mtu na mtazamo wake unaweza kuta pana wengine wanakuona wewe heri ya Mdude.
Sawa ndugu yake Mdude. Muambie kaka yako aache kujichoresha.
Ipo siku mtamuokota mtaronikwa kosa gani ?
Impressed by your humble reply.Mdude ni ndugu yangu kama ulivyo wewe mkuu. Basi na uwe huru kupokea ya kwake kukuhusu wewe.
Chadema ina vijana wa hovyo. Mdude huwa anajihisi nani labda
Impressed by your humble reply.
Sina personal hatred kwa Mdude. Ninachokikosoa kwake ni tabia yake ya kuropoka, na ni suala ambalo anawakwaza hata wenzake ndani ya chama na hata wapo baadhi huwa wanamsahihisha mara kwa mara - tena waziwazi.
Kama chama kikuu na mpinzani halisi wa CCM hatupaswi kuwa na mentality kama za watu wa upande huo. Tunapaswa kuwa smart; tusiwape watu sababu.
Akibadilika ni kijana mzuri. Lakini anaonekana ni kichwa ngumu.
Nilishawaambia maridhiano yale ni ya bandiaHold on....✋
Simlisema maridhiano tayari..🤔
Naye azunguke na Tundu Lissu waonyeshe makovu yao, tuwashangilie weeeeew piiiipoooooooTaarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba, yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali, kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani ameachiwa huru
Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli, lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForums, mamluki hao wameufyata na kumwachia huru.
Natoa wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5.
Mungu ibariki Tanzania.
View attachment 2517817
Ndio mnayofanyiana huko lumumba??Hapana wampige pumb kwanza akija mtaani atulie
USSR
Sasa mbona mnamteka kama mnaona anamakosa kwanini msimwite akafika huko kituoni?Huyu alisema atanyoosha Samia kama alivyosema mnyoosha Magufuli.wacheni amnyooshe
USSR