kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #81
Yes ndio taarifa kwa ummma!Ndio bwana Mwakarobo wenye mafanikio yenu ya kufungua WhatsApp group
Yes ndio taarifa kwa ummma!
Hilo kubwa kushiriki mashindano ya timu nane bora za africa mbele ya mzee wenger ,colina na infatino ni maendeleo kama unaishia makundi utaipata wapi hiyo fursa mtanyeshwa supu mpaka mpate kambaku dadeeki!Naam ni jambo jema mafanikio ya team kuwa kibegi na whatsapp group
Hapana hamshiriki timu nane bora za Africa. Nane bora iko Club bingwa usijitweze pasipokufaa mkuu.Hilo kubwa kushiriki mashindano ya timu nane bora za africa mbele ya mzee wenger ,colina na infatino ni maendeleo kama unaishia makundi utaipata wapi hiyo fursa mtanyeshwa supu mpaka mpate kambaku dadeeki!
Wewe ulikunywa supu ya mwisho mpaka ukakomba jungu wenzio wanakusolola tu usivyojua mambo!Hapana hamshiriki timu nane bora za Africa. Nane bora iko Club bingwa usijitweze pasipokufaa mkuu.
Ngoja nikuweke sawa akili yako umeanza kufuatilia mpira jana...Simba alicheza kombe la shirikisho fainal na stella abijan dar..zamalek alikuwa bingwa wa kombe la washindi na alhaly alikuwa bingwa klabu africa...kombe la shirikisho liliasisiwa likiwa ni mwaka wa pili likidhaminiwa na tajiri na mwanasiasa wa Nigeria akiitwa chief mashoud Abbiola..ndio maana bingwa wa shirikisho hakucheza super cup ......swali kwa wanywa supu sasa ....hivi ulaya kuna Europa conference league,Europa league na Euefa champion league je bingwa wa comference league anacheza super na nani?......ndio mfumo uliokuwepo hapo kabla!Nilijua tu kuwa hapo utapita kama unaaga maiti huwezi kuthibitisha mechi ya super cup
Mkuu umefikiria nini hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hawa hela tuliyo wapa inakaribiana na wale waliokula tano moja,ila wameongezewa kidogo.
Unapata magoli matatu kipindi cha kwanza ambapo kuna uwezekano wa kuongeza magoli mengine zaidi badala yake unaanza madoido ya kurudisha pasi kwa golikipa(Pinpin) na kupoozesha mchezo(Haka katabia katamkaanga mtu,it's just a matter of time). Yanga akimkuta mnyonge anamnyonga jumla jumla. Mwisho wa msimu kitaeleweka tu!
Mleta mada anahusikaje hapoWatu wa hivyo wana stories kama za mleta mada
KMC kwenye hiyo list haipo na imefungwa 6-1View attachment 3236998
Yanga hii yenyew uwezekano wa kupata point 36 kwenye matawi yake? π
Uko sawa kichwani?
Fuatilia mahojiano ya kalimanganga ongalllaKMC kwenye hiyo list haipo na imefungwa 6-1
Kumbe kashangilia tu mi nilijua labda hilo goli limefungwa na refa. Mambo ya kufunga tugoli tuchache kwenye mechi ya kufunga magoli mengi itatugharimu tu. It's a matter of time!.Wenzetu Yanga wakimkuta mnyonge wanamnyonga kweli kweli. Sisi tuendelee kujenga timu wacha wao wachukue mara ya nne mfululizo ikibidi hata kwa Goal Difference!Fuatilia mahojiano ya kalimanganga ongallla
View: https://x.com/SportsarenatzTz/status/1890631055968739384?t=4s4q5rYLzQCz2Zb8jVEJ_g&s=19
Hapo mwisho ni 5 -1. Kwa hiyo ukifanya majumuisho tofauti ya magoli inakuwa Simba 7 - 0 UtopoloView attachment 3236995
Hapa tuliwanunua kwa bei gani? π
Ushawahi kusikia wamelalamika kununuliwa. Mnalalamika wachezaji kununuliwa halafu hamtaki kuwauza.Manula analamikiwa kuuzwa Meneja wake Jemedari kapata ofa Azam ila hamtaki kumwacha, yaani hamjielewi ndio maana acha tuwasupport ujinga wenu.Magoli mechi mliyo pigwa moja kaanza kumlaumu Camara,kwenye Social Networks yaani kitendo sio cha kiproffesionalism kabisa leo Camara ndiye Shuja wenu.View attachment 3236995
Hapa tuliwanunua kwa bei gani? π
Ngoja nikuweke sawa akili yako umeanza kufuatilia mpira jana...Simba alicheza kombe la shirikisho fainal na stella abijan dar..zamalek alikuwa bingwa wa kombe la washindi na alhaly alikuwa bingwa klabu africa...kombe la shirikisho liliasisiwa likiwa ni mwaka wa pili likidhaminiwa na tajiri na mwanasiasa wa Nigeria akiitwa chief mashoud Abbiola..ndio maana bingwa wa shirikisho hakucheza super cup ......swali kwa wanywa supu sasa ....hivi ulaya kuna Europa conference league,Europa league na Euefa champion league je bingwa wa comference league anacheza super na nani?......ndio mfumo uliokuwepo hapo kabla!
ChamaUshawahi kusikia wamelalamika kununuliwa. Mnalalamika wachezaji kununuliwa halafu hamtaki kuwauza.Manula analamikiwa kuuzwa Meneja wake Jemedari kapata ofa Azam ila hamtaki kumwacha, yaani hamjielewi ndio maana acha tuwasupport ujinga wenu.Magoli mechi mliyo pigwa moja kaanza kumlaumu Camara,kwenye Social Networks yaani kitendo sio cha kiproffesionalism kabisa leo Camara ndiye Shuja wenu.
Ni kweli tumewanunua na tena mara nne na mwezi ujao tutawanunua kwa mara ya tano,sababu akili yenu inahisi mkipigwa mmenunuliwa na tutawanunua.