Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Mechi ukitolea pesa lazima ushinde kwa magoli mengi mwisho ya siku mnaweza kuwa sawa na mpinzani wako kwa point!

Naam ni jambo jema mafanikio ya team kuwa kibegi na whatsapp group
Hilo kubwa kushiriki mashindano ya timu nane bora za africa mbele ya mzee wenger ,colina na infatino ni maendeleo kama unaishia makundi utaipata wapi hiyo fursa mtanyeshwa supu mpaka mpate kambaku dadeeki!
 
Hilo kubwa kushiriki mashindano ya timu nane bora za africa mbele ya mzee wenger ,colina na infatino ni maendeleo kama unaishia makundi utaipata wapi hiyo fursa mtanyeshwa supu mpaka mpate kambaku dadeeki!
Hapana hamshiriki timu nane bora za Africa. Nane bora iko Club bingwa usijitweze pasipokufaa mkuu.
 
Hapana hamshiriki timu nane bora za Africa. Nane bora iko Club bingwa usijitweze pasipokufaa mkuu.
Wewe ulikunywa supu ya mwisho mpaka ukakomba jungu wenzio wanakusolola tu usivyojua mambo!
 
Nilijua tu kuwa hapo utapita kama unaaga maiti huwezi kuthibitisha mechi ya super cup
Ngoja nikuweke sawa akili yako umeanza kufuatilia mpira jana...Simba alicheza kombe la shirikisho fainal na stella abijan dar..zamalek alikuwa bingwa wa kombe la washindi na alhaly alikuwa bingwa klabu africa...kombe la shirikisho liliasisiwa likiwa ni mwaka wa pili likidhaminiwa na tajiri na mwanasiasa wa Nigeria akiitwa chief mashoud Abbiola..ndio maana bingwa wa shirikisho hakucheza super cup ......swali kwa wanywa supu sasa ....hivi ulaya kuna Europa conference league,Europa league na Euefa champion league je bingwa wa comference league anacheza super na nani?......ndio mfumo uliokuwepo hapo kabla!
 
Yaani hawa hela tuliyo wapa inakaribiana na wale waliokula tano moja,ila wameongezewa kidogo.
1000214333.jpg

Hapa tuliwanunua kwa bei gani? 😂
 
Unapata magoli matatu kipindi cha kwanza ambapo kuna uwezekano wa kuongeza magoli mengine zaidi badala yake unaanza madoido ya kurudisha pasi kwa golikipa(Pinpin) na kupoozesha mchezo(Haka katabia katamkaanga mtu,it's just a matter of time). Yanga akimkuta mnyonge anamnyonga jumla jumla. Mwisho wa msimu kitaeleweka tu!
1000239855.jpg


Yanga hii ya kuazima kocha na kununua mechi? Kuwa serious basi
 

Kumbe kashangilia tu mi nilijua labda hilo goli limefungwa na refa. Mambo ya kufunga tugoli tuchache kwenye mechi ya kufunga magoli mengi itatugharimu tu. It's a matter of time!.Wenzetu Yanga wakimkuta mnyonge wanamnyonga kweli kweli. Sisi tuendelee kujenga timu wacha wao wachukue mara ya nne mfululizo ikibidi hata kwa Goal Difference!
 
View attachment 3236995
Hapa tuliwanunua kwa bei gani? 😂
Ushawahi kusikia wamelalamika kununuliwa. Mnalalamika wachezaji kununuliwa halafu hamtaki kuwauza.Manula analamikiwa kuuzwa Meneja wake Jemedari kapata ofa Azam ila hamtaki kumwacha, yaani hamjielewi ndio maana acha tuwasupport ujinga wenu.Magoli mechi mliyo pigwa moja kaanza kumlaumu Camara,kwenye Social Networks yaani kitendo sio cha kiproffesionalism kabisa leo Camara ndiye Shuja wenu.

Ni kweli tumewanunua na tena mara nne na mwezi ujao tutawanunua kwa mara ya tano,sababu akili yenu inahisi mkipigwa mmenunuliwa na tutawanunua.
 
Ngoja nikuweke sawa akili yako umeanza kufuatilia mpira jana...Simba alicheza kombe la shirikisho fainal na stella abijan dar..zamalek alikuwa bingwa wa kombe la washindi na alhaly alikuwa bingwa klabu africa...kombe la shirikisho liliasisiwa likiwa ni mwaka wa pili likidhaminiwa na tajiri na mwanasiasa wa Nigeria akiitwa chief mashoud Abbiola..ndio maana bingwa wa shirikisho hakucheza super cup ......swali kwa wanywa supu sasa ....hivi ulaya kuna Europa conference league,Europa league na Euefa champion league je bingwa wa comference league anacheza super na nani?......ndio mfumo uliokuwepo hapo kabla!

Bingwa wa UEFA conference cup hawezi kucheza super cup kwasababu hilo shindano ni la daraja la mwisho kwenye mashindano ya UEFA. super cup inachezwa baina ya bingwa wa mashindano mawili yanayofuatana kwa ubora na hadhi. CAF cup haikuwa shindano linalofuatia kwa hadhi na ubora katika mashindano ya CAF na ndio maana tokea lianzishwe hadi linatamatika haikuwahi kutoa mwakilishi wa kucheza super cup. Simba alicheza fainali ya mashindano ya mwisho kwa ubora na hadhi wakati Yanga kacheza fainali mashindano ya pili kwa ubora na hadhi CAF
Kama mashindano unayoshiriki hayatoi mwakilishi super cup basi jua kuwa ni shindano la ngazi ya chini hilo
 
Ushawahi kusikia wamelalamika kununuliwa. Mnalalamika wachezaji kununuliwa halafu hamtaki kuwauza.Manula analamikiwa kuuzwa Meneja wake Jemedari kapata ofa Azam ila hamtaki kumwacha, yaani hamjielewi ndio maana acha tuwasupport ujinga wenu.Magoli mechi mliyo pigwa moja kaanza kumlaumu Camara,kwenye Social Networks yaani kitendo sio cha kiproffesionalism kabisa leo Camara ndiye Shuja wenu.

Ni kweli tumewanunua na tena mara nne na mwezi ujao tutawanunua kwa mara ya tano,sababu akili yenu inahisi mkipigwa mmenunuliwa na tutawanunua.
Chama
Manula
Baleke
Inonga
biashara ilishia hapa
Wakati mnakula mkono mkavu 2012 kelele zilikuwa nyingi kina nsajigwa wameuza mechi hawamtaki kocha au ulikuwa bado bwamdogo?
Camara lazima awe shujaa wetu hawezi fungwa magoli ya kijinga na kina sele bwenzi kati kati ya uwanja halafu tukae kimya
Huyo manula acha ale matunda ya usaliti wake mpaka mkataba wake na simba uishe tutamuachia azam walimtaka condition wanazijua manula mezani na wao wamuweke faisal mezani tuongee chap
Mwisho sisi sio wajinga haiwezekani msemaji wa timu yenu atoke hadharani aseme dube alikuwa anazimiwa taa akikaribia langoni mwa timu pinzani kufunga kwenye uwanja wa chamazi baada ya kula vipigo viwili mfululizo tukaona wehu na ile idadi aliosema zungu huko kwenu wenye akili ni wawili tu na wewe pia haumo mkifungwa mnakuja kwenye media simba wanacheza mechi zenu viande kweli nyie
1000239914.jpg
1000239854.jpg
 
Back
Top Bottom