Member gani ameku-inspire katika jambo fulani

Mkuu, mbona hata wewe umeshindwa ficha huba lako kwa urusi?
 

Ahsante Sana Mkuu.

Karibu Makande
 
Baltasar
Aisee Yule jamaa mbinguni moja kwa moja
Sio kwa kukojolesha watu vile
Sitokaa nimsahau
Akimaliza kesi yake, tutaiomba serikali sikivu ya mama imlete nchini utimize fantasy yako.
 
Mkuu, mbona hata wewe umeshindwa ficha huba lako kwa urusi?
Mkuu, mimi sina huba yoyote na Urusi wala Putin. Mimi nina ruwaza tangamano (reasonable understanding) kuhusu sera za Urusi na Putin.

Hivi unachukuliaje sera ya Marekani kwamba kama nchi fulani itaachana na matumizi ya dola zake, basi itabebeshwa mzigo wa ushuru kwa 100%?

Kwa nini zisiwepo sera mujarabu katika diplomasia ya biashara, badala ya kutanguliza ubabe butu kama huo?

Unadhani Marekani yenyewe ingefurahia kufanyiwa hivyo, kama ndiyo ingekuwa na hali ya nchi hizo?

Wakati ambapo Urusi anajaribu kuziinua nchi zingine ili wakue pamoja, Marekani anazikandamiza na kuzidhoofisha ili azitawale na kujinufaisha kwazo.

Kinachoudhi zaidi ni pale ambapo Marekani anazitisha waziwazi nchi zinaoonekana kuiunga mkono Urusi, kana yenyewe ndiyo ina hakimiliki ya dunia.

Kwa nini Marekani asitumie ushawishi wa kidiplomasia ili kuzivuta nchi hizo kwenye sera yake?

Kama haiwezi kuzishawishi, basi ni wazi kwamba ama hana uwezo wa kuzisaidia au hana nia hiyo.

Kwa nini basi katika hali kama hiyo iwe makosa kuonesha huba kwa Russia na kuwaponda akina T14 Armata ambao, kwa sababu ya kujishibisha mali haramu za huyo Kiranja wa Magharibi, wanakesha kutwa kucha wakiwapigia upatu wa bati?
 
Sijui ID yake humu ila ameniinspire sana si mwingine ni Billionaire Donald Trump
 
Mkuu, marekani anatetea maslahi yake, na reaction yake ni ajili ya kulinda maslahi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…