Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mzazi akibariki ubakaji, inaacha kuwa ubakaji? Mtoto wa miaka 9 hana uwezo wa kukubali wala kukataa, hivyo ni ubakaji….
Hata awe na miaka 50, mzazi akitaka anaolewa tu , mbona hata wakina Yakobo waliozeshwa tu lakini wanawake sio chaguo lao , ndoa ni suala la mzazi kuamua wewe
 
Wewe unahakika gani kama hayo maneno ni ya Bi Aisha?
Hakuna mke wa mtume aliyetajwa dhahiri katka Quran mwanamke aliyetajwa kwa majina ni mmoja tu, binti Imran sasa wewe unakuja na hadithi ambayo haina support ya aya hii itabaki maneno tu iliyokutana nayo lolote linaweza kuchomekwa tu
 
Hata awe na miaka 50, mzazi akitaka anaolewa tu , mbona hata wakina Yakobo waliozeshwa tu lakini wanawake sio chaguo lao , ndoa ni suala la mzazi kuamua wewe
Mtoto wa miaka 9 akiolewa kwa ruhusa ya mzazi, mzazi anakuwa kabariki ubakaji,
 
Mkuu watu humu wanajadili kihisia sana.
 
Kwa hiyo waarabu wa Iraq sio waislamu?
 
Maelekezo yote kuhusu ndoa na kuoa na wanawake yamepewa sura nzima katka Quran surat Anisaa sura ya 4, na humo imewekwa wazi anayekidhi vigezo vya kuolewa ni Mwanamke sasa mtu mwenye miaka 9 ni Mwanamke? Hapo lazima akili itumike muongozo upo tena umejitosheleza huwezi kufuata hadithi katka kuoa wakati Quran imeisha tuelekeza anaye olewa ni mtu wa namna gani watu Sunni sijui shia na madhheb ndio changamoto wametuletea hizi kwa kufosi fosi hadithi ziwe base ya hukumu badala ya Quran. Hao watu wa Iraq wako Wrong tena ni mihemko tu
 
Kwa hiyo mtume aliikiuka Quran kwa kuoa mtoto wa miaka 9?
 
Kwa hiyo waarabu wa Iraq sio waislamu?
Kila binadamu kiasili ni muislam sasa lakini uislam sio jina tu na kujitengea ka kundi imani na kitabu ndio vina toa majibu ya Uislam wako
 
Mtoto wa miaka 9 akiolewa kwa ruhusa ya mzazi, mzazi anakuwa kabariki ubakaji,
Kwa zama hizi ambazo kuna haki mpaka za mashoga na wasagaji ni sahihi,ila kwa zama hizo za manabii hakukuwa na shida yeyote kama kabalehe mtoto wa kike, maana. Hata kwenye ukoo wengine walikuwa hawana urithi
 
Je mtume anaweza kwenda kinyume na Quran?
Sasa kama Quran imesema mwanamke ndo anatakiwa kuolewa halafu wewe mwenyewe umesema binti wa miaka 9 sio mwanamke huoni kama kakiuka?
Hebu nieleweshe hapa mkuu.
 
Kwa zama hizi ambazo kuna haki mpaka za mashoga na wasagaji ni sahihi,ila kwa zama hizo za manabii hakukuwa na shida yeyote kama kabalehe mtoto wa kike, maana. Hata kwenye ukoo wengine walikuwa hawana urithi
Mtoto wa miaka 9 hana uwezo wa kukubali au kukataa.., ni ubakaji..
 
Je mtume anaweza kwenda kinyume na Quran?
Anaweza kukosea kama binadamu ndio maana kuna maandiko ukiyasoma sababu ya kushuka kwake kama onyo kwa mtume asifanye jambo fulani afanye jambo lingine, alikuwa binadamu huyu , mbona hata wakina Nuhu walikunywa mpaka wakaacha korodani nje nje mpaka anakuja kulaani mtoto kwa ulevi wake
 
Sasa kama Quran imesema mwanamke ndo anatakiwa kuolewa halafu wewe mwenyewe umesema binti wa miaka 9 sio mwanamke huoni kama kakiuka?
Hebu nieleweshe hapa mkuu.
Je mtu wa kike wa miaka 9 anakidhi vigezo vya kuwa Mwanamke? Kimaumbile na kiakili?
 
Je mtu wa kike wa miaka 9 anakidhi vigezo vya kuwa Mwanamke? Kimaumbile na kiakili?
Jibu swali langu mkuu kama hauna jibu kausha na sio kunuliza tena maswali ambayo ulitakiwa umuulize Mtume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…