Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

kwakuwa amekataa idea ya kuoa vitoto vya miaka sita ndio anakua kafiri duh kweli hiyo dini na ovyo
Hakuna mtu aliyewahi kuoa watoto na uislamu hauruhusu kuoa mtu ambaye hajabalehe, makafir wanahangaika sana kutunga tunga vistory vyao ili kupotosha tu ,lakini hawatafanikiwa maana ukiangalia hata hao walionzisha hizo story za kutunga wameishia kuwa waislamu from europe na america
 
Tuambie wapi sharia ya miaka9!
 
Hoja ni umri wa mtu.

Kama ni mtu mzima ameamua kuwa shoga hiyo haina shida.

Lakini mtoto asiyejitambua kumuingilia, siyo ubinadamu, ni unyama.

Unyama huo unapohalalishwa na dini, dini hiyo inakuwa ya kinyama.
Asante kwa kukubali kuwa shoga mnaweza kuamua kwenye dini yenu.
Alikuwa binti yako ameingiliwa hadi unalalamika?
Yeye alilalamika kwamba hakutaka?
Una ushahidi umri uliotajwa kama sahihi wakati kipindi hicho hamna calendar rasmi?
Mtoto mdogo inapenya vipi au ulishawahi kutest mtoto mdogo?
 
Hakuna shida mkuu hadi huyo binti atapokuwa mtoto wako ndio utaelewa.
 
Shoga habakwi, ànapenda mwenyewe kufirwa na wakati mwingine wanahonga ili kufirwa.
Mtoto wa miaka 9 anapenda kubakwa? Acha kushabikia ubakaji wa Muhammad kwanza Qur'an haijaruhusu waislam kubaka.
Nioneshe reference ya kubakwa au unaropoka kama umekunywa damu za makanisani?
 
Mzazi ndio mwenye jukumu la kumuozesha mwanae suala la kuoa halina umri muhimu binti awe amebalehe basi, UISLAMU haujaweka umri wa kuoa ila kwa mtu alie balehe ruksa kuhudumia Mume au mke
 
Utahamia upande upi sijui!, labda atheist au kina Buddha, Mary alimzaa yesu akiwa na miaka kati 12-15. Jiulize mungu anaruhusu vipi kitoto cha miaka 12 kimzae mtu aitwaye masihi?. Imagine mtoto wako wa darasa la sita kinazaa, Yani ni kwamba enzi hizo hiyo miaka ndiyo watoto wengi wa kike huolewa, miaka ya 1700 au 1800 huko USA age of consent unajua ilikuwa ni miaka mingapi?...Kwa jinsi Hali ilivyo Sasa na jinsi mambo mengi yalivyobadilika si busara kufanya uamuzi wa kukioza kibinti cha hiyo miaka, Kwa zamani ndivyo ilivyokuwa inafanyika lakini Sasa hivi si zamani tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…