Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Sasa hapo si uharibifu wa mtoto,Labda kwa wanaume wenye vibamia!hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Hakuna mtu aliyewahi kuoa watoto na uislamu hauruhusu kuoa mtu ambaye hajabalehe, makafir wanahangaika sana kutunga tunga vistory vyao ili kupotosha tu ,lakini hawatafanikiwa maana ukiangalia hata hao walionzisha hizo story za kutunga wameishia kuwa waislamu from europe na americakwakuwa amekataa idea ya kuoa vitoto vya miaka sita ndio anakua kafiri duh kweli hiyo dini na ovyo
Tuambie wapi sharia ya miaka9!Sheria za Uislamu ni sheria zilizotoka kwa Allah subhaanah, hivyo kwa muumini jambo la kwanza kabisa linalompasa ni kujisalimisha na kunyenyekea kwa yale aliyoamrishwa, sawasawa yanaafikiana na upeo wake wa akili au laa.
Kwa sababu translation ya kuzipinga na kuzikosoa sheria za Allah ni kwamba wewe unaamini akili yako inaukamilifu kuliko hekma ya Allah
Tuje kwenye shaka uliyonayo
Asante kwa kukubali kuwa shoga mnaweza kuamua kwenye dini yenu.Hoja ni umri wa mtu.
Kama ni mtu mzima ameamua kuwa shoga hiyo haina shida.
Lakini mtoto asiyejitambua kumuingilia, siyo ubinadamu, ni unyama.
Unyama huo unapohalalishwa na dini, dini hiyo inakuwa ya kinyama.
Sawa niwe wewe papuchi Basi mkuu. Wanasema ukimkuta mtoto anachezea wembe mnyang'anye ila usiache kumpa Pamba achezeeAcha ubakaji wa vitoto
Hakuna shida mkuu hadi huyo binti atapokuwa mtoto wako ndio utaelewa.Kuna vitu Huwa havicheleweshwi kwenye Uislamu na Waislamu:
1.Kuzikwa kwa haraka.
2.Kuolewa mtu anapofikia balehe.
3.kubadili dini(kusilimu) Ili awe muislamu.
Sasa miaka 9 na kashabalehe Kuna shida gani?
Halafu ni Sheria iliyopitishwa huko Iraq, sisi bongo inatuhusu nini?
Vibinti vyenyewe vinatolewa bikra na miaka 8 au 9, Sasa jamaa wanataka kuviepusha na Zambi zisizo na kichwa Wala miguu
Lete andiko mkuuMariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
SawaSio ukatili
Nioneshe reference ya kubakwa au unaropoka kama umekunywa damu za makanisani?Shoga habakwi, ànapenda mwenyewe kufirwa na wakati mwingine wanahonga ili kufirwa.
Mtoto wa miaka 9 anapenda kubakwa? Acha kushabikia ubakaji wa Muhammad kwanza Qur'an haijaruhusu waislam kubaka.
Hizo nchi zinaongozwa na Sheria gani?Kama nchi za kikristo, zilivyoruhusu ushoga.
Mkuu we unaona sawa mtoto wa miaka 9 kuolewa? Dini zinatutoa akili.wewe si muislamu mkuu
Zinafuata sheria za kanisa. Mfano mzuri huko Vatican.Hizo nchi zinaongozwa na Sheria gani?
Nyie jamaa wengi wenu vichwani weupe sana asee. Mnawalaumu NECTA basi tu.
Mzazi ndio mwenye jukumu la kumuozesha mwanae suala la kuoa halina umri muhimu binti awe amebalehe basi, UISLAMU haujaweka umri wa kuoa ila kwa mtu alie balehe ruksa kuhudumia Mume au mkehata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Huna uislam wowote, Muislam wa kweli hawezi akapinga jambo halali na la Sunna kama hili.hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Una zungumzia vitu vya muda mrefu sana, Uislamu unasema alikuwa ka balehe alipofika hiyo miaka 9 na wazazi wake walikubaliana na jambo hilo hakuna alie bakwaMudi si alibaka wa miaka 9, hiyo hadith nenda google utaipata..
Watu wanafira wanaume wenzao na kujitangaza , na maandamano juu , binadamu ameshindikanaNyege mbaya sana. Hili kundi la wenyenyege huko mbele linaweza pitisha sheria ya kuwaingilia mpaka kitimoto.