Dogo amshukuru Mungu Maza Ake mzima tangu mwanzo wa mafanikio yake anaujua na anajua tabia za maslay queen nahisi alimsanua mapema sana Kuna interview aliweka wazi kwamba Kila kitu ni Cha Maza Ake ye hanamiliki kitu, yule dogo hashindwi kuoa ila anajua tabia za kina tanasha, ila hakimi kanipa funzo kubwa sana.
 
Na Ndio maana hawa maslay queen hawampendi Mama yake kumbe ni kwasababu Mama kaziba miyanya
 
Hakimi kazaliwa France kachagua kuichezea Morocco pia sio Mshambuliaji ni Beki sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…