Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Dogo amshukuru Mungu Maza Ake mzima tangu mwanzo wa mafanikio yake anaujua na anajua tabia za maslay queen nahisi alimsanua mapema sana Kuna interview aliweka wazi kwamba Kila kitu ni Cha Maza Ake ye hanamiliki kitu, yule dogo hashindwi kuoa ila anajua tabia za kina tanasha, ila hakimi kanipa funzo kubwa sana.
 
UONGOZI WA JUU KABISA KATAA NDOA.
1. Ashraf Hakimi (Mwenyekiti)
2. Cristiano Ronaldo (Katibu)
3. Leonardo DiCaprio (Mweka Hazina)
4. Diamond Platnumz (Mjumbe Wa kamati Tendaji)
Safu imekaa vizuri [emoji122][emoji122][emoji122]

IMG-20230414-WA0066.jpg
IMG-20230414-WA0078.jpg
 
Dogo amshukuru Mungu Maza Ake mzima tangu mwanzo wa mafanikio yake anaujua na anajua tabia za maslay queen nahisi alimsanua mapema sana Kuna interview aliweka wazi kwamba Kila kitu ni Cha Maza Ake ye hanamiliki kitu, yule dogo hashindwi kuoa ila anajua tabia za kina tanasha, ila hakimi kanipa funzo kubwa sana.
Na Ndio maana hawa maslay queen hawampendi Mama yake kumbe ni kwasababu Mama kaziba miyanya
 
Back
Top Bottom