Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Nimecheka mpaka nimepaliwa mwamba umejua kunifurahishaUONGOZI WA JUU KABISA KATAA NDOA.
1. Ashraf Hakimi (Mwenyekiti)
2. Cristiano Ronaldo (Katibu)
3. Leonardo DiCaprio (Mweka Hazina)
4. Diamond Platnumz (Mjumbe Wa kamati Tendaji)
Wewe umeoa mida 2015 halafu unadanganya watu humuBORA AIBU KULIKO UJINGA
Wanaume tunaupiga mwingi sana akili zishaanza kufungukaHiii inanikumbusha bwana platnumz alivyoimba " kama unanipenda Sana ,umaarufu weka mbali
Na ile nyumba ni ya mama
Wala usiwaze magari".
Inaonekana mama yake ana damu ya kibantu. Then Hakimi ana damu ya kimatumbi labda ndo maana.hilo busu na mama yake mhh
Naona jamaaa kajitafutia kukaa single mpaka afe hakuna dem atamkubali tena washa sanda jamaa bahili mno[emoji38][emoji38]
nimeliangalia sjalielewa ingekua paji la uso ningeona its okay au kwenye shavu lakini hivo hapanaInaonekana mama yake ana damu ya kibantu. Then Hakimi ana damu ya kimatumbi labda ndo maana.
Ni shavu angalia vizuri.nimeliangalia sjalielewa ingekua paji la uso ningeona its okay au kwenye shavu lakini hivo hapana
Diamond Platnumz alishaliona hili mapema sanaukiwa na pesa zama hizi usijiroge ukaoa, tembeza kirungu tu, wanawake wengi wa kizazi hiki ni majini wenye muonekano wa umbo la ki binaadamu
sina usingizi mkuu naona kabisa ni mdomo kwa mdomo bwanaNi shavu angalia vizuri.
Safu imekaa vizuri [emoji122][emoji122][emoji122]UONGOZI WA JUU KABISA KATAA NDOA.
1. Ashraf Hakimi (Mwenyekiti)
2. Cristiano Ronaldo (Katibu)
3. Leonardo DiCaprio (Mweka Hazina)
4. Diamond Platnumz (Mjumbe Wa kamati Tendaji)
Na Ndio maana hawa maslay queen hawampendi Mama yake kumbe ni kwasababu Mama kaziba miyanyaDogo amshukuru Mungu Maza Ake mzima tangu mwanzo wa mafanikio yake anaujua na anajua tabia za maslay queen nahisi alimsanua mapema sana Kuna interview aliweka wazi kwamba Kila kitu ni Cha Maza Ake ye hanamiliki kitu, yule dogo hashindwi kuoa ila anajua tabia za kina tanasha, ila hakimi kanipa funzo kubwa sana.
Shavu bana. Busu halal la mama. Huyo maza apewe tuzo tu na Hakimi ajengewe sanamsina usingizi mkuu naona kabisa ni mdomo kwa mdomo bwana
😂😂😂Shavu bana. Busu halal la mama. Huyo maza apewe tuzo tu na Hakimi ajengewe sanam