Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?


Kama ilivyokuwa kwa akina:

Dr. Dotto Biteko
Mwita Lwaitama
Bwana Kalemani
Bwana Katambi
Bwana Bashing
Na wote wale wengine wenye hadhi za namna hiyo awamu ile, ieleweke:

"Kulia au kucheka ni kwa kupokezana."
 
Uliyowataja ni manaibu wote. Manaibu siyo wajumbe wa mabaraza ya Mawaziri
Mlivyo wataja akina Ridhiwan, Kipanga na Ulega mlikuwa mnajua kwamba ni Mawaziri? Hawa nao ni manaibu ila kwenye hesabu mumewaweka lakini manaibu wengine mnawakataa kwa kuwa siyo Members of the Cabinet !!
 
Dar ina mawaziri wangapi?
 
Sawa tu wapwani ndio wenye CCM yao, Waliasisi. Inapendeza kuona historia imejirudia. Tatizo la sukuma GANG hamuijui CCM na asili yake.
 
Tatizo wakristo ndio waliojaa rohombaya,wizi na majungu.......hata Magufuli alikua anawatengua mawaziri wakrito sana kuliko waislam
 
Mukiambiwa katiba mpya hamutaki,......nduli JPM alivojenga uwanja wa Chato kijijini kwake mulikenua meno[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Mliokua mnashangiria wasukuma feki kujazwa bungeni na serikalini ndio leo hii mnapanua midomo.. hameni Nchi,
mmekosa aibu kabisa sukuma GANG.
 
Hao mawaziri wote wa pwani,wanne aliwateua Magufuli,mmoja Samia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].....hata hivo si tumekubaliana watu w Pwani hawajasoma?
 
Magufulia hakuawahi kuweka Mawaziri hata 3 Mkoa mmoja taja mfano hapa
Hao mawaziri 5,wanne alianza nao JPM ,Samia kamalizia na Ridhiwani Kikwete.
Hata hivo si tulikubaliana watu wa pwani hawajasoma?[emoji16][emoji16][emoji3]
 
Uwakilishi kila mkoa unamaana sana wewe unangalia upande mmoja
 
Hivyo unamaanisha mikoa mingine kama Mara, Shy haina watu wa kuwa Mawaziri ila pwani na Tanga ndiyo wanasifa
Mawaziri 5 wa pwani,JPM alianza na 3,mama kamalizia na mmoja.
Mchengerwa tumeona utendaji wake,bado Ridhiwani
Hata hivo watu wa pwani si tumekubaliana hawajaenda shule?[emoji16][emoji3][emoji3]
 
Kuimba kupokezana , tulizeni mishono, mlianza nyie nao wanamaliza sasa hivi.
Kama mbwai mbwai tu
Kinachoshangaza Sukuma GANG wamejitoa akili kabisa. Kama sio wao waliokua wanashangilia ubaguzi wa Magufuli wa kikanda. Wahame nchi.
 
Zaramo gang Mambo magumu hawawezi Labda kukopa na kutembeza na umbeya pamoja na taarabu.
Mzigo mzito mpe myamwezi au Sukumagang.
Ila wao ndio wanaongeza awamu zao kupandisha madaraja na kuongeza mishahara[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
Ila si tumekubaliana kua hawajaenda shule?
 
Mawaziri watano.
Watatu alianza nao JPM,mmoja mchengerwa tumeona kazi zake,Ridhiwani waziri mpya..
Hata hivo watu wa pwani hawajasoma,ni wavivu kama nini[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Katiba inasema mawaziri watachaguliwa kutokana na Pato la Taifa?[emoji16][emoji16]
Ninyi so hamutaki katiba mpya ninyi
Hata hivo watu wa pwani wavivu na hawajasoma[emoji3][emoji16][emoji16]
 
Watu wa pwani wavivu hawajasoma[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3].
Wakae kwa kutulia ngoma ichezwe vizuri
 
Mliokua mnashangiria wasukuma feki kujazwa bungeni na serikalini ndio leo hii mnapanua midomo.. hameni Nchi,
mmekosa aibu kabisa sukuma GANG.
Wamajisahaulisha kabisa......,[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…