Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mawaziri wamekuwa wawakilishi wa mikoa tangu lini???

Kati ya hao mnaowaita wapwani wameongezeka wangapi wapya hata ionekane kuna mikoa wamenyimwa mawaziri

Akili za ovyo sana hizi baada ya kulalamika kukosekanwa kwa maendeleo mnalalamika mgao wa mawaziri
 
Shida ni je hao viongozi wanaweza kumudu tanzania ni yetu sote
nasubiri mlalamishi mzee mohammed saidi aseme tena waislanu wananyanyaswa
 
Regional Representation ni tunu adimu aliyoitumia baba wa Taifa kujenga umoja na mshikamano.

Tusipo enzi hilo hali ya South Sudan itatunyemelea
Lete uthibitisho kama alitumia regional representation, otherwise hiyo ni stori tu
 
Umeandikwa wapi huo utaratibu. Tubandikie hapa tuuone.
Mambo mengine ni busara tu; mfano tunavyobadilisha wagombea wa urais, mkristu, muislam, haijaandikwa mahali Ila ni busara hekima za waliojielewa.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Wakati huo mkoa wa Mara hamna hata mmoja
 
Back
Top Bottom