Mnaohangaika Kunichafua katika Shindano Jukwaa la Sports nikishinda au nikishindwa bado nitashukuru Mungu

Mnaohangaika Kunichafua katika Shindano Jukwaa la Sports nikishinda au nikishindwa bado nitashukuru Mungu

Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.

Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Ni nguvu ya yesu kuzaliwa au ban za mfululizo zimekufanya uwe mpole namna hii? Genta umeongea kinyonge sana hatujakuzoea hivi.. Japo una akili ya ndege ila sikubaliani na wanao kuponda na kukukosea heshima
 
Kuna watu nawachukia hii dunia wa kwanza ni yeye
Na huyo huyo Unayemchukia GENTAMYCINE ndiyo anapendwa na Mwenyezi Mungu hakuna mfano huku akimbariki tu Kutwa kupitia Chuki zenu na Wivu wenu dhidi yake.

Tafadhali nakuomba usiache Kunichukia kwani kupitia Kunichukia Kwako ndiyo hata idadi ya Followers wangu hapa JamiiForums inaongezeka halafu na hata Umaarufu wangu Kuongezeka kuliko hao Uwapendao.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!
 
Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.

Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Welcome back to the hood
 
Ushaetani ni sifa yeyote anaweza kuwa nayo kama ana tabia ovu zilizopitiliza na kustahiki kuitwa hivyo.Mfano binadamu wanaowashawishi na kusababisha wenzao kusaliti familia zao ,kugombana ,kuacha ibada nk.
Thanks a lot Chief for Educating that Nut.

Cc: malantu
 
Ondoa upuuzi wako. Akumente nini, matusi?
Usiache Kunichukia kwani ndiyo Unanipaisha zaidi tu kuliko unavyodhani kuwa Unaniangamiza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Na anavowakiaga kwenye choki muda si mrefu atajaa. Tuzo anapewa akiwa selo
Kama mnaombea hilo Poleni na Mtasubiri sana tu. Baada ya Kutofanikiwa katika Mkakati wenu wa Kunichafua ili Nisipigiwe Kura za Ushindi sasa mmehamia katika Kunichokoza kwa Makusudi mkitegemea nitapaniki na kuwajibuni hovyo ili mniripoti kwa Moderators nipigwe BAN mfurahie.

Nalindwa zaidi na Mwenyezi Mungu na nashukuru Mwenyewe hapa Umekiri kuwa nipewe Tuzo au nitapewa nikiwa Kifungoni. Asante kwa Kulitambua hilo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Cc: inamankusweke
 
Maneno ya mkosaji anayetaka huruma! Hapa hakuna huruma ni kura tuu! Mbona wenzio hawapigi kelele, iweje uwe wewe tu?
Kwani nimewazuia na Wao kuja na Strategy yao. Mwenyezi Mungu alituumba Wanadamu na Akili ili tuzitumie na nazitumia Kimkakati na kwa 99% zinanisaidia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Kama mnaombea hilo Poleni na Mtasubiri sana tu. Baada ya Kutofanikiwa katika Mkakati wenu wa Kunichafua ili Nisipigiwe Kura za Ushindi sasa mmehamia katika Kunichokoza kwa Makusudi mkitegemea nitapaniki na kuwajibuni hovyo ili mniripoti kwa Moderators nipigwe BAN mfurahie.

Nalindwa zaidi na Mwenyezi Mungu na nashukuru Mwenyewe hapa Umekiri kuwa nipewe Tuzo au nitapewa nikiwa Kifungoni. Asante kwa Kulitambua hilo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Cc: inamankusweke
Charismatic, intelligent,most entertaining fella
 
Amina Kiongozi. Yote ni Mipango ya Mungu na Kuniheshimisha Kwenu.

Waswahili waliposema Kumpiga Teke Chura walikuwa na maana Kubwa, Dhahiri na Pana.

Asante Mwenyezi Mungu kwa Baraka.
The way, ulivyoandika hapa! Mtu asiyekufahamu anaweza kusema "jamaa ana busara sana"!!

Ngoja dishi ligeukie magharibi sasa!! Siyo kuporomosha matusi huko!!
 
Charismatic, intelligent,most entertaining fella
Baada ya Kunikashifu katika Post zako za awali na kuona hujafanikiwa Kunishusha na Kuathiri Kura zangu sasa unajifanya Kunipamba na Kunipaisha Kinafiki.

Mungu akusamehe na awasamehe bure nyote mnaonichukia, mnaoniombea mabaya na kukerwa na huu Umaarufu wangu mkubwa wenye Baraka zote za Allah / Mungu Baba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
The way, ulivyoandika hapa! Mtu asiyekufahamu anaweza kusema "jamaa ana busara sana"!!

Ngoja dishi ligeukie magharibi sasa!! Siyo kuporomosha matusi huko!!
Huchoki tu Kunijadili Kwako huku kwa Mabaya, Chuki na Wivu mkubwa dhidi yangu huku nikizidi Kufanikiwa na Kuchanja Mbuga katika Shindano?

Walionipigia Kura na Wanaendelea Kunipigia Kura ndiyo wanajua na wanaijua Thamani yangu ya uwepo wangu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums.

Asante Kwao na Mwenyezi Mungu awabariki kwa Upendo wao mkubwa Kwangu na kwa Kunithaminisha pakubwa hivi.
 
Back
Top Bottom