zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
unakili bila kujua kwamba TFF wako upande wa nyau fc maana wasinge weza tambua upungufu wa mkataba kama hawajaoneshwaUsitufokee ,mmefoji mkataba halafu lawama kwa simba,simba walishaona mapungufu ya mkataba ndo maana hawajasubiri TFF kumsajili morison ,walaumu utopolo na TFF siyo simba ,hata hiyo bodi ya sheria unajua mwenyekiti wake ndo huyo huyo aliyegombea uenyekiti wa yanga na msolwa ?hata hivo mlitakiwa mpigwe adhabu kubwa