Msajili: Vyama vya Siasa vinatakiwa kufanya uchaguzi wa viongozi kama Sheria inavyowataka na kuepuka kukaa muda mrefu bila uchaguzi

Msajili: Vyama vya Siasa vinatakiwa kufanya uchaguzi wa viongozi kama Sheria inavyowataka na kuepuka kukaa muda mrefu bila uchaguzi

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini imevikumbusha Vyama ambavyo muda wa Uongozi wa Viongozi wake unakaribia kuisha, kufanya Uchaguzi wa Viongozi hao kabla ya muda huo haujaisha

Barua iliyotumwa kwa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa vyenye Usajili kamili leo, Alhamisi Januari 18.2024 imefafanua kuwa Kifungu cha 9(2)(e) kikisomwa pamoja na Kifungu cha 8D(1) cha Sheria 'The Political Parties Act, CAP 258' kinaelekeza kuwa kila Chama cha Siasa kinapaswa kufanya Uchaguzi wa Kidemokrasia wa Viongozi wake kwa Vipindi ambavyo vimewekwa katika Katiba yake

Aidha, Barua hiyo ambayo imesainiwa na Sisty Nyahoza ambaye ni Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Jaji Francis Mutungi imeendelea kufafanua kuwa Kanuni ya 16 ya Kanuni 'The Political Parties (Registration and Monitoring) Regulations, 2019 (TS. 953/2019)' inaeleza kuwa Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Siasa unapaswa kufanyika siyo zaidi ya miaka Mitano (5) tangu Uchaguzi uliopita kufanyika na kwamba Chama husika kitaomba ruhusa ya Msajili wa Vyama vya Siasa endapo kinataka kufanya Uchaguzi zaidi ya kipindi hicho.View attachment 2875586
Chodem wanatekelezaje
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini imevikumbusha Vyama ambavyo muda wa Uongozi wa Viongozi wake unakaribia kuisha, kufanya Uchaguzi wa Viongozi hao kabla ya muda huo haujaisha

Barua iliyotumwa kwa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa vyenye Usajili kamili leo, Alhamisi Januari 18.2024 imefafanua kuwa Kifungu cha 9(2)(e) kikisomwa pamoja na Kifungu cha 8D(1) cha Sheria 'The Political Parties Act, CAP 258' kinaelekeza kuwa kila Chama cha Siasa kinapaswa kufanya Uchaguzi wa Kidemokrasia wa Viongozi wake kwa Vipindi ambavyo vimewekwa katika Katiba yake

Aidha, Barua hiyo ambayo imesainiwa na Sisty Nyahoza ambaye ni Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Jaji Francis Mutungi imeendelea kufafanua kuwa Kanuni ya 16 ya Kanuni 'The Political Parties (Registration and Monitoring) Regulations, 2019 (TS. 953/2019)' inaeleza kuwa Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Siasa unapaswa kufanyika siyo zaidi ya miaka Mitano (5) tangu Uchaguzi uliopita kufanyika na kwamba Chama husika kitaomba ruhusa ya Msajili wa Vyama vya Siasa endapo kinataka kufanya Uchaguzi zaidi ya kipindi hicho.View attachment 2875586
Hivi chadema walifanya uchaguzi mara ya mwisho karne ipi.
 
Ukiona barua na maagizo yaliandikwa na Sisty ujue kuna kitu kinapikwa au mtu anatafutwa.
Vipi vile vyama rafiki vya CCM Kumi na tatu (ambavyo hushonewa suti kwenda kwenye press ya kuipinga CDM) lini vilifanya uchaguzi Katika miongo miwili iliyopita.
Lini Mamose Cheyo alipigiwa kura mara ya mwisho?😁
Huu ni mzaha wa hovyo.
 
Avitaje vyama hivyo,

Pia Msajili hawaoni walioanza compaign mapema?
 
TANESCO
TASSAF
TRC
ATC
TRA
NSSF
STAMICO
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
Hizi ni baadhi ya Taasisi za hovyo kupindukia.
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini imevikumbusha Vyama ambavyo muda wa Uongozi wa Viongozi wake unakaribia kuisha, kufanya Uchaguzi wa Viongozi hao kabla ya muda huo haujaisha

Barua iliyotumwa kwa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa vyenye Usajili kamili leo, Alhamisi Januari 18.2024 imefafanua kuwa Kifungu cha 9(2)(e) kikisomwa pamoja na Kifungu cha 8D(1) cha Sheria 'The Political Parties Act, CAP 258' kinaelekeza kuwa kila Chama cha Siasa kinapaswa kufanya Uchaguzi wa Kidemokrasia wa Viongozi wake kwa Vipindi ambavyo vimewekwa katika Katiba yake

Aidha, Barua hiyo ambayo imesainiwa na Sisty Nyahoza ambaye ni Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Jaji Francis Mutungi imeendelea kufafanua kuwa Kanuni ya 16 ya Kanuni 'The Political Parties (Registration and Monitoring) Regulations, 2019 (TS. 953/2019)' inaeleza kuwa Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Siasa unapaswa kufanyika siyo zaidi ya miaka Mitano (5) tangu Uchaguzi uliopita kufanyika na kwamba Chama husika kitaomba ruhusa ya Msajili wa Vyama vya Siasa endapo kinataka kufanya Uchaguzi zaidi ya kipindi hicho.View attachment 2875586
Huyu msajili anatumika kibwege sana na CCM
 
Back
Top Bottom