babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Kikombe Cha urafikiiiiiiiiiiiiiiHeading: Mtoto wa shangazi
Main body: Mtoto wa mamdogo
Conclusion: Chai jaba.
Acha kumhenyesha huyo dogo, aisee Watanzania mbona tunapenda kupeana tabu katika haya maisha? Yani mtu ukishakuwa na mji wako basi utataka kila anayekuja umuhenyeshe kwa namna flani!Nyumbani kwangu ikifika wakati wa chakula cha usiku (dinner) ni lazima tule pamoja kwenye chumba kimoja,
sasa kuna mtoto wa shangazi ni kama miaka 20 hivi hapendi kufata sheria ya mda wa dinner.
sheria ya muda wa mlo wa usiku ni kwamba simu hazitakiwi kutumika, simu inabidi ziachww vyumbani.
lengo ni kupata chakula cha usiku kama familia, ni muda ambao watu wote ndani ya nyumba tunajumuika.
sasa huyu dogo ni kama haheshimu huu utaratibu, yeye akija bado yupo busy na simu kwa kuibia ibia.
Shangazi yangu ni mtu ambae tumezoeana sana tangu nikiwa mtoto, naogopa nikimminya sana dogo ataenda kulalamika alafu ikala kwangu.
nimemwambia kama mara 3 anaacha ila anarudia.
suluhisho ni nini??
Upate nini?..Fuata kanuni uishi muda mrefu mjini hapa huna pakushukia, mtumikie kafilri upate......
Kuna vitu vidogo vitawatoa roho, sasa ukoloni hata kwenye vitu vidogo tu simu mnataka mtengeneze makanuni utafikiri katiba ya nchi, nini wazee kweli binafsi sioni la msingi hapo, mtafanya watoto wenu wawe waoga nakukosa amani wakimuona baba karudi.. Na familia tajiri hutakuta ujinga wa hiviNi bora kuwa mkoloni utawale na kuongoza nyumba yako kuliko kuwa mtumwa kwako mwenyewe.
Kuna watu wana roho za kutu... Mimi sijawahi kuona Kwenye familia zilizoendelea mambo kama haya... Masheria ya kiduanzi utafikiri yanafanya familia iwe imara kumbe ni upupu tu, kwanza wanafanya watoto wawe waoga na kukosa amani wanapomuona baba mzee wa masheriaAcha kumhenyesha huyo dogo, aisee Watanzania mbona tunapenda kupeana tabu katika haya maisha? Yani mtu ukishakuwa na mji wako basi utataka kila anayekuja umuhenyeshe kwa namna flani!
Kama ulishampa muongozo ila hataki kufuata inatosha we usimlazimishe. Acha tu aishi anavyoona sahihi maana anaelewa kabisa yupo kwa kaka yake na sio kwao.
si unajua mamdogo na shangazi wote ni auntHeading: Mtoto wa shangazi
Main body: Mtoto wa mamdogo
Conclusion: Chai jaba.
Mradi wakeUpate nini?..
Violence at home is forbidden... Nyie ndiyo mnatuleteaga vijana waoga mtaani kisa ukali