Mtoto wa shangazi ana kiburi kwenye kufata sheria zangu nyumbani kwangu, nitatue vipi?

Mtoto wa shangazi ana kiburi kwenye kufata sheria zangu nyumbani kwangu, nitatue vipi?

Kumbuka hakuna aliyetaka kula mwenyewe au kubagua chakula(mboga) ila Mimi sizani uyo kijana kula uku kubonyeza simu yake kunamuathiri mtu yyte kwa njia yoyote ile mbali na kumuathiri yeye(kama kutokushiba) ivyo sioni tatzo zaidi ya Sheria za ajabu za mtoa mada.
NB:siwezi muwekea mtu Sheria ya kutokucheka kwasababu tu Mimi sipendi kucheka sababu anakaa kwangu ikiwa hainidhuru kwa chochote kile.
Sheria pamoja na utaratibu lazma uwe na maana pamoja na msingi kumzuia mtu kucheka kama moja ya sheria ya nyumba inaweza kuwa ni ujuha.

ila katika chakula kwa watu wengi wenye kipato cha chini hufanya hivyo ili kupunguza bajeti, pia huleta mahusiano mema angalia mtoto anaekula peke ake toka udogoni wengi wana ubinafsi mkubwa na wachoyo.

Kwahiyo mleta mada yupo sahihi kufanya hivyo nyumban kwake na sio nyumban kwa mtu a pia ikitokea ameenda nyumbn kwa watu wengine nae atafuata utaratibu alioukuta
 
Vijana wamekuwa wa hovyo sana..

Simu zinachangia sana kuvunja mahusiano ya familia nyingi,,,watu kila saaa wako na simu
 
Nyumbani kwangu ikifika wakati wa chakula cha usiku (dinner) ni lazima tule pamoja kwenye chumba kimoja,

sasa kuna mtoto wa shangazi ni kama miaka 20 hivi hapendi kufata sheria ya mda wa dinner.

sheria ya muda wa mlo wa usiku ni kwamba simu hazitakiwi kutumika, simu inabidi ziachww vyumbani.

lengo ni kupata chakula cha usiku kama familia, ni muda ambao watu wote ndani ya nyumba tunajumuika, kila mtu anaelezea siku yake imeendaje, maendeleo ama changamoto kwenye shughuli zake, ushauri, kukumbushanana umoja ni nguvu, n.k.

sasa huyu dogo ni kama haheshimu huu utaratibu, yeye akija bado yupo busy na simu kwa kuibia ibia.

Shangazi yangu ni mtu ambae tumezoeana sana tangu nikiwa mtoto, naogopa nikimminya sana dogo ataenda kulalamika alafu ikala kwangu.

nimemwambia kama mara 3 anaacha ila anarudia.

suluhisho ni nini??
Ndugu acha udikteta, au nakosea ndugu zangu.
 
Anza msako wa kukagua simu kwa kila anaeenda kuketi mezani kabla ya chakula atakayebainika huyo atakula simu kwa siku hiyo mbona atanyooka tu, kama hataki arudi kwao au akajitegemee si ashafikisha umri wa utu uzima huyo....

Ila sheria zingine bwana ni miiba kwanza yeye kuchezea simu kunakusababisha usishibe au?? Utakuwa na hulka za uchoyo wewe.
Kuna vitabia huwa vinakera sana,simu, tv nk vina muda wake sio nakutuma kitu unakiweka mezani huku umekodolea tv hatuwezi kuelewana ikiwa hivyo tv nazima kabsa mpaka umalze kazi niliyokutuma.
 
Kuna watu mna sheria majumbani mwenu. Mke wako anakohoa kweli?. Hilo tu linakuumiza?. Acha uandazi huo we bwege
 
Back
Top Bottom