Nikiwa mwananchi mzawa na mwenye uchungu na wajinsi fedha zetu zinavyoteketea kwa kinachoitwa mbio za mwenge,Leo nimeshuhudia aibu pale njombe mwege umepokelewa na watoto wa shule na viongozi wa chama na serikali tu.mh jk nakuomba ufutilie mbali mbio hizi za mwenge.
Kichwa cha habari na wewe mwenyewe ulitaka kuandika nini?
Umuhimu wake kwa sasa ni watu wengi wanaambukizwa ukimwi na mimba nyingi zisizotarajiwa zinatungwa!Watoto kama lile lijamaa linene wanazaliwa!
Interahamwe na mwenge damdam mwana lazima watumishi michango ilhali mwenge una bajeti yake wanaiba escrow hadi mfukoni mwa watumishi wa serikali na wananchi
Zinasaidia kupeleka watu Zanzibar.
wakuu samahan kwa hili jaman naomba kuuliza hvi mwenge unafaida gan au unasaidia nn ktk nchi yetu wakuu maana ukitua sehem na kukesha basi ujue hapo kila vtu vbaya hufanyika mf.ulevi,umalaya,wizi na matukio mengine kibao so naomba kuelimishwa zaidi kuhusu hili
MIMI NI MTANZANIA HALISI NINAE PENDA NCHI YANGU.