Nikiwa mwananchi mzawa na mwenye uchungu na wajinsi fedha zetu zinavyoteketea kwa kinachoitwa mbio za mwenge,Leo nimeshuhudia aibu pale njombe mwege umepokelewa na watoto wa shule na viongozi wa chama na serikali tu.mh jk nakuomba ufutilie mbali mbio hizi za mwenge.
Kichwa cha habari na wewe mwenyewe ulitaka kuandika nini?