Kipindi cha mwalim toka mwenge uanzishwe, hawakuwepo mafisadi wengi sana kama ilivyo kwasasa hivi, hivyo inaonyesha kadri siku zinavyo kwenda mafisadi wanazi kuongezeka na mwenge unashindwa kuwachoma hawa mafisadi. Hivyo mimi naona mwenge una faida ya kuzaa mafisadi wazidi kuongezeka zaidi. na kula hela za mlipa kodi. Gharama hiyo inayo tumika kutembeza mwenge 45mil kwa siku zinatosha hata kwa kuweka umeme wa sola kwenye zanati ambako akina mama wanajifungua kwa vibatali!! ni wazi mwenge unazaa mafisadi na kadri siku zinavyo kwenda mwenge utakuwa na wajukuu!!!!
Je kuna msaada wowote ambao unaletwa na mwenge wa uhuru ?
Au ni mojawapo ya matumizi mabaya ya pesa za serikali?
Upo umuhimu wowote wa kuendelea kuwepo kwa huu mwenge wa uhuru?
Wana jukwaa naomba kujuzwa??
umeambiwa mm mkuwait?
huo Mwenge uzimwe na uwashwe kwa kauli mbiu na baada ya mda flani sio kunenepesha watu na kuzindua miradi ambayo hata kiongozi wa wilaya wa naweza Fanya
umbulula huu.
Mpaka hapo nimepata jibu Kamili ni kwamba mwenge unachangia kwa asilimia nyingi zaid kuharibu nchi yetu na kutumia pesa nyingi za serkali ambazo zinge saidia kufanyia shuhuli zingine za maendeleo